Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Shida ujui kama huyo jamaa ni jambazi au mla wake za watu ili anakwenda kupelekewa kiboga
Hivi ndugu Wtz mnapotaka kujstify mawazo yenu huwa mnayafikiria marambilimbili.

Anyway watunga mitaala wawe wanapitia huku mitandaoni hasa mada hizi complex ili waone jinsi ya kumodify mitaala ili tupate CRITICAL AND ANALYTICAL BIG BRAINS watakaorithi na kuiendeleza hii nchi.

Vinginevyo huko siku za mbeleni hii nchi itakuja kutawaliwa na wageni kama uwezo wetu wa kufikiri utakuwa ni limited kiasi hiki.
 
WAliorecordd wanatakiwa kupongezwa mkuu, tusidharau hilo tulipo ni pabaya sana, Ali kibao sio tu tulikosa video hata picha zimekosekana
Kinachoniuma ni hakuna hatua inafanywa na raia na wanajua hali ya sasa na nini wafanye.
 
Wanaume wa pwani ni watu waoga sana na bahati mbaya wanajifanya wajuaji sana na ndio maana nitawakubali siku zote wanaume wa mkoa wa mara hasa wakurya .
Nakumbuka miaka ya 2000 kuja mpka 2008 askari au mwanajeshi tulikuwa tunamuona kama mgambo tu kwani kisu cha tumbo au shime moja tu ilikuwa inatosha kumziba mdomo na ubabe wake.
Na wakati wa jando (tohara) mwezi wa kumi na mbili tulikuwa tunafundishwa namna ya kukimbia kwa kukwepa risasi endapo umempiga askari.
Jakaya ndo alitukosea sana kutuletea kanda maalumu.
BHAMUR abantu bha pwani ni abarisia sana.
Wewe unaongelea enzi hizo.Hichi kizazi cha vijana wanatahiriwa kwa ganzi ni cha hovyo kabisa.Madogo sijui hata kama wanaweza kuchinja kuku nowdays😀😀😀
 
WAliorecordd wanatakiwa kupongezwa mkuu, tusidharau hilo tulipo ni pabaya sana, Ali kibao sio tu tulikosa video hata picha zimekosekana
Yeah juzi juzi tu huku Mwanza mshkaji kabebwa. Na kusipokuwa na videos ndiyo zinapushiwa zile agenda za "amejiteka huyo", " ameenda kwa mchepuko", "amekimbilia kwa Madiba huyo".

Story nyingi zinatungwa atleast kuna video, wateteaji watafute angle nyingine ya kuwatetea.
 
Wanaume wa pwani ni watu waoga sana na bahati mbaya wanajifanya wajuaji sana na ndio maana nitawakubali siku zote wanaume wa mkoa wa mara hasa wakurya .
Nakumbuka miaka ya 2000 kuja mpka 2008 askari au mwanajeshi tulikuwa tunamuona kama mgambo tu kwani kisu cha tumbo au shime moja tu ilikuwa inatosha kumziba mdomo na ubabe wake.
Na wakati wa jando (tohara) mwezi wa kumi na mbili tulikuwa tunafundishwa namna ya kukimbia kwa kukwepa risasi endapo umempiga askari.
Jakaya ndo alitukosea sana kutuletea kanda maalumu.
BHAMUR abantu bha pwani ni abarisia sana.
Kabisa , na JPM kuwanyang'anya Vijana wa Tarime Bastola zao ,ndio alikuja kusababisha Leo hii ujambazi umeongezeka Tarime.
 
Wewe Mimi ni mtu wa Kanda ya ziwa .

Huwa tunaamini Kufa lazima ufe .
Mtu ni mtu Jomba.
Kaingilie mchezo ila jua kwenye tukio lenye kutazamwa na watu zaidi ya 3 wakutoa ushirikiano wapo hapo hapo.... Waliosungu sio wajinga wanajua Asili ya wanadam hasa Watanzania..
 
Wanaume wa pwani ni watu waoga sana na bahati mbaya wanajifanya wajuaji sana na ndio maana nitawakubali siku zote wanaume wa mkoa wa mara hasa wakurya .
Nakumbuka miaka ya 2000 kuja mpka 2008 askari au mwanajeshi tulikuwa tunamuona kama mgambo tu kwani kisu cha tumbo au shime moja tu ilikuwa inatosha kumziba mdomo na ubabe wake.
Na wakati wa jando (tohara) mwezi wa kumi na mbili tulikuwa tunafundishwa namna ya kukimbia kwa kukwepa risasi endapo umempiga askari.
Jakaya ndo alitukosea sana kutuletea kanda maalumu.
BHAMUR abantu bha pwani ni abarisia sana.
Huu nao ni ujinga mwingine. Hivi wewe hujui kwa sasa watu walio wengi wanaoishi Dar wametoka mikoani?? Ikiwemo watu wa huo mkoa wako unaojisifia??

Kuna sifa nyingine za kijinga sana.
 
Kinachoniuma ni hakuna hatua inafanywa na raia na wanajua hali ya sasa na nini wafanye.
Mkuu mimi hua nasema msemo mmoja. " Bongo kila mtu anataka mabadiliko bila yeye kuhusika " wengi tupo hivo na kwa video hii mshikamano kuupata labda lije tukio moja kubwa litakalotuamsha wote kwa pamoja
 
Wewe unaongelea enzi hizo.Hichi kizazi cha vijana wanatahiriwa kwa ganzi ni cha hovyo kabisa.Madogo sijui hata kama wanaweza kuchinja kuku nowdays😀😀😀
Na kweli mzee naskia siku hizi ni mwendo wa ganzi tu.
 
Kabisa , na JPM kuwanyang'anya Vijana wa Tarime Bastola zao ,ndio alikuja kusababisha Leo hii ujambazi umeongezeka Tarime.
Walizengua sana hawa wazee wangetuachia tu ubabe wetu kwa kwenda mbele maana ni asili yetu kuona damu kumwagika sikio kudondoka mtu kutolewa utumbo n ilikuw ni sehem yetu ya maisha
 
Unatoa mkakati gani mkuu wa wananchi kukabiliana na hawa watu wanaokuja na chuma?
Mkuuu itabidi niandike Uzi, mjifunze namna gani huku Kanda maalumu tunapambana na Hawa wahuni .


Kwa Ufupi ni utimamu wa akili pekee ,Ujasiri ndioo unaoweza kuamua juu ya nn kifanyike.

Intention ya Mtekaji Huwa ni MTU Mmoja walotumwa kumteka, hivo JARIBIO LOLOTE LA kutoa silaha na kutisha Huwa ni kujilinda, ila hawezi fyatua Risasi kumuua MTU mwingine .

Kama mazingira ya tukio hamna vyombo vya moto kama hivo, Suala ni moja tu Kwa wananchi kupiga yowe huku wakiwazonga watekaji wakiwa wamebeba mawe, marungu, na Kila silaha ya jadi .


Waulizeni kwanini hawajichanganyi kuteka kizembezembe namna hiyo huku, Huku unauliwa mara moja.
 
Back
Top Bottom