Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

GkUm0RkXEAADypb.jpeg
 
Mkuu kwanini unakuwa na chuki isiyo na kifani kwa mtu baki bila kuwa na sababu ya msingi.

📌📌📌Unafeatures za SADISTS!!!
Boda ni wapumbavu as simple as that.

Hawana adabu.
 
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.

Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.

Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.


Kuna Uzi humu Jf unasema Tanzania tunaelekea kule iliko Congo Leo hii aliyoiasisi mobutu seseko
 
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.

Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.

Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.


Roho inaniuma sana matukio ya namna hii kuendelea kutokea nchini, nimejisikia vibaya mno!

Kijana wa watu Mungu amsaidie.
 
Unashindwaje kufa na pumb la mmoja?? Wabongo tunatekwa kindezi sana aisee! Ikifika life or death unapasua kichwa na kitu chochote cha karibu, dah inatia uchungu, huruma na hasira at the same time, wakati mapimbi wengine wanarecord tu!
 
Ametekwa kwanini sasa..au kachukua mke wa mtu? Hii ncho nayo siku hzi imekua ya ajabu sana
 
Alafu mnashangaa Congo inavyovamiwa na M23 alafu Wanajeshi wao Wanakimbia.

CCM kweli wameshalifanya taifa letu sasa kuwa kama Congo.
Watanzania wamekuwa wajinga na makondoo hadi wanashindwa kumtetea mtu anayefanyiwa udhalimu mchana kweupe?

Hilo Taifa limekufa tayari.
Mkuu umeisoma viizuri hii habari? Au ndio uhodari nyuma ya Keyboard?
 
Back
Top Bottom