The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Sasa ccm inahusikaje HapoMatukio kama haya eti kuna wajinga bado wanaipenda ccm tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ccm inahusikaje HapoMatukio kama haya eti kuna wajinga bado wanaipenda ccm tu
Hii serikali inqomgozwa na chama gani kwani. Au serikali ipo likizoSasa ccm inahusikaje Hapo
Boda ni wapumbavu as simple as that.Mkuu kwanini unakuwa na chuki isiyo na kifani kwa mtu baki bila kuwa na sababu ya msingi.
📌📌📌Unafeatures za SADISTS!!!
Endeleeni kuongea upuuzi kwenye masuals ya msingi. Nchi imeshakuwa failed state hiyoBoda bwana wanajiona wajanja sana kula wake za watu.
Ni vijana wasiokuwa na heshima kabisa wala sina huruma nao kabisa.
😂😂😂😂mkuu kwani wamekufanyaje vijana wadogo hao.Boda ni wapumbavu as simple as that.
Hawana adabu.
Wako kwenye perimeterHao wanaitwa OUTER wapo pa1
Kuna Uzi humu Jf unasema Tanzania tunaelekea kule iliko Congo Leo hii aliyoiasisi mobutu sesekoInasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.
Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.
Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.
Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.
Roho inaniuma sana matukio ya namna hii kuendelea kutokea nchini, nimejisikia vibaya mno!Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.
Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.
Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.
Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.
So wale ni ccmHii serikali inqomgozwa na chama gani kwani. Au serikali ipo likizo
PoliccmSo wale ni ccm
Yap coversWako kwenye perimeter
Inasikitisha sanaRoho inaniuma sana matukio ya namna hii kuendelea kutokea nchini, nimejisikia vibaya mno!
Kijana wa watu Mungu amsaidie.
CCM hajawahi kukemea utekajiKuna Uzi humu Jf unasema Tanzania tunaelekea kule iliko Congo Leo hii aliyoiasisi mobutu seseko
Mkuu umeisoma viizuri hii habari? Au ndio uhodari nyuma ya Keyboard?Alafu mnashangaa Congo inavyovamiwa na M23 alafu Wanajeshi wao Wanakimbia.
CCM kweli wameshalifanya taifa letu sasa kuwa kama Congo.
Watanzania wamekuwa wajinga na makondoo hadi wanashindwa kumtetea mtu anayefanyiwa udhalimu mchana kweupe?
Hilo Taifa limekufa tayari.
Upo tayari kuwa miongoni mwa hao 10?Mkikusanyika watu 50 au 100 hapo watawaua wote?
Hao watekaji hapo kama risasi wali,o nazo sidhani kama zinazidi 10 kama wana bastola