Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Huwezi ingia usiyojajua either ni jambazi au mla wake za watu kadakwa
Sheria inatoa haki za mkamataji na mkamatwaji.

Mkamataji anatakiwa apresent ID yake kwa anayemkamata hasa hao askari [kama ni kweli ] wasio na sare.

Mkamatwaji anatakiwa atajiwe kosa analokamatiwa na kuonyeshwa ID ya askari huyo.

Kinyuma na hapo mkamataji atakuwa ametenda kosa , na mkamatwaji akitajiwa kosa na kuonyeshwa ID akagoma atapata kosa la "resisting arrest" litakalojmuishwa baadae hivyo mkamataji atatumia nguvu stahiki kadiri awezavyo kumkamata mlengwa.

Hao walivyokaa kichekibobu na wanavyotoa silaha kiholela hivyo wanatia shaka kama kweli ni askari bali ni watekaji tu.
 
Ndo mana tunavyosema CCM wameifanya Tanzania kuwa kama Mobutu alivyoifanya Congo mtuelewe.

Hayo ndo matokeo ya Watawala kutengeneza vizazi vya waoga, machawa, wavivu, wajinga na wapenda starehe!
Mkuu ni wewe ulikuwa unatetea DP World au ni mwingine?
 
Umesoma neno bunduki?
atalenga watu wangap ? je atabakia salama? ubinafsi utafanya leo atekwe huyo , kesho ni ww hlf mtatekwa wote kisa mnaogopa mtutu.

ww na kondoo mnatofauti gan
 
Boda boda hah... Hawa jamaa nao huwa wako na matukio mengi ya siri ikiwemo kubembea wake za watu.

Kitu kilichonishangaza jamaa mwenye hiyo shumizi nyekundu hakuwa na wasiwasi na wala hakuwa na haja ya kujificha ili raia wasimuone.

Hili tukio linaonekana ni lakijamii kwa maana ya kwamba watu wameamua kuoneshana ubabe fulani hivi.

Ila all in all Tanzania now imekua kama South ya miaka hiyo kwa maana mtu anaweza akauliwa hapo na wala watu wasiwe na time nae, kwa maana hao jamaa waliopo hapo wote wangeamua kwenda eneo la tukio kiuungwana ili wahoji ni nini dhima ya vurugu hizo nadhani hao watekaji wangepata ubaridi kidogo.

Nadhani pia ni kwakua watized hatujazoea hizo mikikimikiki ya gun ndio maana mtu akiitoa tu hata kama ni toi(kwa maana ndani Haina kitu) watu wanarudi nyuma wenyewe.
sheria zinaruhusu ? au mnataka taifa liende kibangi bangi namna hii ?
 
Hiv mkuu unadhan hapo waliokuwa wanashangaa hapo wangesogea hata watu 20 huyo jamaa wangemchukua? Tatz linakuja n uoga wetu tuliotengenezewa
Hao watu 20 labda wawe wa mbeya ,mara lakini sio pwani na dar , huko wamejaa wanawake watupu.
 
Back
Top Bottom