Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
GreensHii video inaweza kutoa mwanga. Watekaji ni Nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GreensHii video inaweza kutoa mwanga. Watekaji ni Nani?
mi pia nmeshangaa sana kuona mhusika wa utekaji kabakia tena akiwa comfortable kabisa kama vile hakuna kilichotokeaWatanzania again, huyo kabaki peke yake hapo. Wanashindwa mkamata na ateswe aseme kisa cha kumteka, wanapompeleka? Hata simu yake kuikagua watu aliowasiliana nao, ingekuwa hatua nzuri ya kuanza nayo. Naona kingine, kutembea na silaha nowadays ni muhimu.
Hapo angekuwa mkata uno watu ndy wangejaaaHivi watu walishindwa kabisa kuwashughulikia hao watekaji.mnashindwa hata kutoboa matairi
Huyo boda inawezekana mtu wa matukiomi pia nmeshangaa sana kuona mhusika wa utekaji kabakia tena akiwa comfortable kabisa kama vile hakuna kilichotokea
Wewe hata miaka 78 ya kuishi hufikishi.Endekezeni ujinga mtakufa wengi..
Matumizi ya maneno! Huyu anakamatwa au anatekwa?Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.
Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.
Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.
Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.
Watakuwa walikuwa kwenye doria inaonyesha walikuwa wanamkamata kwa kosami pia nmeshangaa sana kuona mhusika wa utekaji kabakia tena akiwa comfortable kabisa kama vile hakuna kilichotokea
kesho utatekwa wew , tulitawaliwa hv hv kwa kuzingatia vitu vya kijinga na kuacha mambo muhimu , hao watekaj wakinogewa bas na ww utatekwa siku mojaBoda bwana wanajiona wajanja sana kula wake za watu.
Ni vijana wasiokuwa na heshima kabisa wala sina huruma nao kabisa.
kesho utatekwa wew , tulitawaliwa hv hv kwa kuzingatia vitu vya kijinga na kuacha mambo muhimu , hao watekaj wakinogewa bas na ww utatekwa siku mojaBoda bwana wanajiona wajanja sana kula wake za watu.
Ni vijana wasiokuwa na heshima kabisa wala sina huruma nao kabisa.
tuilaumu chadema maana ndo wanaongoza mhimili wa serikali uliobeba wizara ya ulinzi , pia tumlaumu Tundu Lissu kwa kutomuwujabisha waziri wa ulinzi maana hao jamaa wamekuja na gari binafsi , je jeshi halina gari ? CHADEMA wanazingua sn , km vp nchi ikabidhiwe kwa ccmu tuSasa ccm inahusikaje Hapo
ila akili zako , ndo vipenz wa ccmu hawa , mnawacheka wakongo ilihali nyiny ndo vilaza kbsUpo tayari kuwa miongoni mwa hao 10?
Ukamataji hauko hivyo, huko ni kutekaMatumizi ya maneno! Huyu anakamatwa au anatekwa?
Uchawa umeacha lini?Huyu mama nchi imemshinda.kila mtu ana mapembe
Yaani we msenge huna akili kabisa. Umejuaje kuwa wake za watu?wake za watu sumu vijana bodaboda,
unadhani unaiba kwa siri, matokeo yake unapotezwa hadharini dah, inasikitisha sana na inafedhehesha mno,
Tamaa ni kitu mbaya sana ndugu zangu 🐒
Wakati utekaji unaendelea,toboeni tairi,wakati wanaziba pancha pigeni simu polisi.Alafu mnashangaa Congo inavyovamiwa na M23 alafu Wanajeshi wao Wanakimbia.
CCM kweli wameshalifanya taifa letu sasa kuwa kama Congo.
Watanzania wamekuwa wajinga na makondoo hadi wanashindwa kumtetea mtu anayefanyiwa udhalimu mchana kweupe?
Hilo Taifa limekufa tayari.
Hizi ni ishu binafsi ukiwa msafi kwenye jamii haya hayakupati huwezi tekwa kama sio mtu wa matukio au mvunja Sheria ya asiliKwa hiyo huo utaratibu ni sahihi na uendelee sio!?