Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Watanzania again, huyo kabaki peke yake hapo. Wanashindwa mkamata na ateswe aseme kisa cha kumteka, wanapompeleka? Hata simu yake kuikagua watu aliowasiliana nao, ingekuwa hatua nzuri ya kuanza nayo. Naona kingine, kutembea na silaha nowadays ni muhimu.
mi pia nmeshangaa sana kuona mhusika wa utekaji kabakia tena akiwa comfortable kabisa kama vile hakuna kilichotokea
 
huyo aliyebaki pia mmeshindwa kumvizia kumkamata mbona ana kamwili kadogo
 
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.

Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.

Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.


Matumizi ya maneno! Huyu anakamatwa au anatekwa?
 
Boda bwana wanajiona wajanja sana kula wake za watu.

Ni vijana wasiokuwa na heshima kabisa wala sina huruma nao kabisa.
kesho utatekwa wew , tulitawaliwa hv hv kwa kuzingatia vitu vya kijinga na kuacha mambo muhimu , hao watekaj wakinogewa bas na ww utatekwa siku moja
 
Boda bwana wanajiona wajanja sana kula wake za watu.

Ni vijana wasiokuwa na heshima kabisa wala sina huruma nao kabisa.
kesho utatekwa wew , tulitawaliwa hv hv kwa kuzingatia vitu vya kijinga na kuacha mambo muhimu , hao watekaj wakinogewa bas na ww utatekwa siku moja
 
Sasa ccm inahusikaje Hapo
tuilaumu chadema maana ndo wanaongoza mhimili wa serikali uliobeba wizara ya ulinzi , pia tumlaumu Tundu Lissu kwa kutomuwujabisha waziri wa ulinzi maana hao jamaa wamekuja na gari binafsi , je jeshi halina gari ? CHADEMA wanazingua sn , km vp nchi ikabidhiwe kwa ccmu tu
 
Hii nchi ngumu sana unaeza kufa uku wana wakichukua video ili warushe jf wapate like za kutosha
 
Huyu kijana sijui ndo taarifa zake zilianza kusambaa majuzi kuwa kapotea. Niliona kwenye page ya jamaa wa EATV
 
wake za watu sumu vijana bodaboda,
unadhani unaiba kwa siri, matokeo yake unapotezwa hadharini dah, inasikitisha sana na inafedhehesha mno,

Tamaa ni kitu mbaya sana ndugu zangu 🐒
Yaani we msenge huna akili kabisa. Umejuaje kuwa wake za watu?
 
Alafu mnashangaa Congo inavyovamiwa na M23 alafu Wanajeshi wao Wanakimbia.

CCM kweli wameshalifanya taifa letu sasa kuwa kama Congo.
Watanzania wamekuwa wajinga na makondoo hadi wanashindwa kumtetea mtu anayefanyiwa udhalimu mchana kweupe?

Hilo Taifa limekufa tayari.
Wakati utekaji unaendelea,toboeni tairi,wakati wanaziba pancha pigeni simu polisi.
 
Back
Top Bottom