Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Mtu anatekwa mchana kweupe bila msaada wowote jamani inasikitisha kweli kama Taifa tumefika pabaya sana
 
  • Thanks
Reactions: ywf
Huyo kakamatwa kwa nguvu na wanaoruhusiwa kuwa na siraha na pingu Tanzania hapo Polisi wanatakiwa watoe taarifa iliyonyooka kama wapo watu wenye ruhusa ya kuwa na siraha za moto mjini?
 
Povu! Hayo umesema wewe.
Kijiwe kina watu wangapi atekwe yeye??
KWamba ni wachuna ngozi na ngozi yake ndio yakipekee hadi waje hadharani kumchukua?
Ni mwanasiasa kwamba wametumwa na wapinzani wake?
Mfanyabiashara ???
Hizo ni kesi binafsi anajua huyo boda na waliomfuata wamalizane mambo yao atarejea kijiweni
Hujajibu swali langu hata mmoja.

Umerudia kutoa hoja za mihemko. Suala la uhai wa mtu ni serious sana kuliongelea kwa juujuu kama unavyolichukulia wewe.

Wewe hujui hata huyo mtu kama ni bodaboda kweli maana unaweza ukaendesha pikipiki na usiwe bodaboda.

Unavyosema ni kesi binafsi unaongelea kesi kama zipi?? na kwa udhibitisho gani kwamba huyo mtu anayetekwa ndie muhusika??
 
Hujajibu swali langu hata mmoja.

Umerudia kutoa hoja za mihemko. Suala la uhai wa mtu ni serious sana kuliongelea kwa juujuu kama unavyolichukulia wewe.

Wewe hujui hata huyo mtu kama ni bodaboda kweli maana unaweza ukaendesha pikipiki na usiwe bodaboda.

Unavyosema ni kesi binafsi unaongelea kesi kama zipi?? na kwa udhibitisho gani kwamba huyo mtu anayetekwa ndie muhusika??
sasa hapa mwenye mihemuko ni rubii au ywf ??
 
Bongo imekuwa kama Mexico
Kitambo tulisema kutekana tekana huku,watu wataiga wataona nao style ya kumalizana

Basi wawe wanateka ki proffesional siyo kindezindezi hivyo
Inawezekana hyo boda anayetekwa amezingua mahali

Ova
 
Hujajibu swali langu hata mmoja.

Umerudia kutoa hoja za mihemko. Suala la uhai wa mtu ni serious sana kuliongelea kwa juujuu kama unavyolichukulia wewe.

Wewe hujui hata huyo mtu kama ni bodaboda kweli maana unaweza ukaendesha pikipiki na usiwe bodaboda.

Unavyosema ni kesi binafsi unaongelea kesi kama zipi?? na kwa udhibitisho gani kwamba huyo mtu anayetekwa ndie muhusika??
Kila jambo halitosis sababu
Inawezekana jamaa kadhulumu,kachukua mke wa mtu,au jamaaa ni mtu wa matukio

Ova
 
Nahidi nitatekwa ila Wallah nitatoka na sikio hata la mmoja wao yaan nitahakikisha nimelikata nikalitema chini puu.

Uzuri hata wakiniuwa ni sawa na huko huko nako pelekwa sijui kuna kurudi au laaa..
Ukipata nafasi ya kushika mbupu zake itapendeza sana maana unakuwa na remote control
 
Hizi ni ishu binafsi ukiwa msafi kwenye jamii haya hayakupati huwezi tekwa kama sio mtu wa matukio au mvunja Sheria ya asili
Huna akili wewe! Kwa hiyo mtu anaye yaongelea madhaifu na mapungufu ya serikali naye ni mchafu amevunja sheria?
 
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.

Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.

Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.


Tofauti ya Watanzania na nyumbu ni pembe tu.
 
wake za watu sumu vijana bodaboda,
unadhani unaiba kwa siri, matokeo yake unapotezwa hadharini dah, inasikitisha sana na inafedhehesha mno,

Tamaa ni kitu mbaya sana ndugu zangu 🐒
Kwa hiyo wake za watu nao ni tatizo sasa kwa nini bodaboda wawe wahanga wa jambo hili, mwamba akigundua au kuona ni vyema adili na mkewe kwani ameombwa mara ngapi ni suala la yeye kukataa anapokubali basi mwenye tatizo ni mwanamke, wanaume wameumbwa na tabia hizo za kupenda na kuomba wachache wanao lazimisha, mpaka hapo tujue tatizo liko wapi.
 
Kila jambo halitosis sababu
Inawezekana jamaa kadhulumu,kachukua mke wa mtu,au jamaaa ni mtu wa matukio

Ova
Mkuu, Linipokuja suala la serious kama kutetea uhai wa mtu kwanini tu-coclude kwa ku-guess??

Hao watu wanaoshuhudia hilo tukio kwanini wasingehoji huyo mtu amefanya nini mpaka achukuliwe hatua kama hiyo??

Vyombo vya dola si vipo?? kama kuna utata juu ya sababu iliyosababisha haya yote kutokea watu wanaoshuhudia hili tukio wangeshirikisha vyombo vya dola tu, kuliko kumuacha mtu anachukuliwa anapopelekwa hapajulikani, alichofanya hakijulikani na waliomchukuwa hawajulikani. Ni hatari sana
 
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.

Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.

Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.



Masuala haya ya kutekana hapa Tanzania jinsi yanavyofanyika ni kama vile ilivyokuwa nchini Zaire (DRC) enzi za Utawala wa Dikteta Mobutu Sese Seko, Watu walikuwa wanatekwa mchana kweupe kama hivi wanavyofanya hawa Watekaji kwenye video hii. Nchini Zaire ilikuwa ukitekwa namna hiyo basi utapelekwa moja kwa moja nyumbani kwake Rais Mobutu Sese Seko kwenye makazi yake yaliyopo katika Kijiji Cha Gbadolite ili ukateswe na kisha kuuawa. Hali ilikuwa mbaya sana kupita kiasi nchini Zaire, naona hali kama hiyo hiyo sasa hivi ipo nchini Tanzania. Ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa Umma na nchi yote kabisa kwa ujumla wake.
Matukio ya namna hii yana madhara mabaya sana ambayo kamwe hayataweza kuja kurekebishika.

Nashangaa Sana kuona kwamba Serikali iliyopo ipo kimyaaa kabisa licha ya kwamba vilio vya Wananchi ni vikubwa sana katika kulaani matukio ya namna hii. Kulikoni hasa huko Serikalini?
 
Pamoja mara nyingi nimejitahidi kuwa balance katika kutetea serikali lakini kwenye hili nasema BIG NO, ni lazima watu wawajibike ndio hatukatai mtu kukamatwa lakini ziwepo taratibu za kisheria hii inachafua serikali. Wakikaa kimya kwenye hili tena basi najuwa kura yangu itaenda wapi 2025.
 
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.

Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.

Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.


Inasikitisha sana ila Kwa kuwa Mnafunda mashoga sawa endeleeni kwa kweli Mtu anakuonyeshea bunduki unazani kwani atakupiga nayo hiv watu wote mkiwasonga songa hawo hamjui watatulia acheni uoga ninyi watu
 
RIP in Advance dereva bodaboda

KIFO NI KIFO TU

SA100 MI5 TENA


☠️☠️☠️
 
Back
Top Bottom