Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha

Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.

Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.

Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.



JamiiForums imewasiliana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase kuhusu tukio hilo, amesema:

"Sina taarifa kamili juu ya tukio hilo, nami naliona tu, naomba mtupe muda tulifuatilie na tufanye uchunguzi wa kujua kilichotokea."
No matter what, hii inaumiza sana mioyo yetu!!
 
ila akili zako , ndo vipenz wa ccmu hawa , mnawacheka wakongo ilihali nyiny ndo vilaza kbs
Kilaza ni mimi au wewe uliyeanza sentensi kwa herufi ndogo, huku CCM ukaita ccmu na ukashindwa kufunga sentesi kwa nukta?
 
Mtu anatekwa alafu watu wanaangalia tu🥲
Mkuu Bastola na Bunduki ni Silaha za mwisho kabisa kugundulika Duniani zinaogopwa na Makomando na makachero wa aina yoyote.

Hii silaha haina Swalia mtume.

Ukiishika vizuri Komando wa Vita ananyosha mikono unless na yeye anayo
 
Mm namsifu aliyechukuwa hiyo video maana amerahisisha watu kufuatilia na kupitia jukwaa hili wadau watatupatia jina LA mmiliki wa gari
hiyo video ni upuuzi mtupu kwani hii ndio video ya kwanza kupatikana?ilisaidia nini?
Badala ya kupiga makelele wajaze watu muwazingire yeye anachukua video kama yuko beach huku akiongea vineno vyake vya kike.
Eti jamani ndio anaobdoka hivyo,ndio anaondoka hivyo,wewe tall toka hapo.
Halafu yuko ndani ya lori ameshindwa hata kwenda kupaki lori kwa mbele kuwablock?
 
Inasemekana kwamba tukio limetokea jana (20.2.2025) majira ya saa saba mchana.Mkoa wa Pwani, Kibaha, Njuweni, sheli ya Puma.

Huyu kijana (boda boda) alikuwa anapambania maisha yake, akaomba msaada. Wananchi waliposogelea eneo la tukio, alishuka dereva wa hiyo Noah nyeusi ya watekaji akiwa na mtutu wa bunduki (kama inavyoonekana kwenye video), watu ikabidi warudi nyuma.

Boda boda akafungwa pingu kwa kusumbuana nao sana. Wakaanza kumlazimisha kuingia kwenye gari.

Boda hakukubali kirahisi mpaka alipotolewa bastola na huyo aliyevaa vest nyekundu.



JamiiForums imewasiliana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase kuhusu tukio hilo, amesema:

"Sina taarifa kamili juu ya tukio hilo, nami naliona tu, naomba mtupe muda tulifuatilie na tufanye uchunguzi wa kujua kilichotokea."
Hii nchi ni ya kiku.ma sana. Inashangaza wanaume wa Dar kushuhudia mtu anatekwa na watekaji mchana kweupe bila kuchukua hatua zozote za kumsaidia.
 
Watanzania again, huyo kabaki peke yake hapo. Wanashindwa mkamata na ateswe aseme kisa cha kumteka, wanapompeleka? Hata simu yake kuikagua watu aliowasiliana nao, ingekuwa hatua nzuri ya kuanza nayo. Naona kingine, kutembea na silaha nowadays ni muhimu.
Watanzania mbn waoga sana tatizo Nini,au ubinafsi?
 
Tunaweza kuwalaumu walioshuhudia hilo tukio, lakiini kinachomfanya mtu ashindwe kuingilia kwa namna yeyote ni kutokujua, kuwa hao ni watu wa usalama au ni watu wengine.

Kwa sababu vyombo vyetu vya usalama haifahamiki ni kwa namna gani wanaendesha operations zao, ili uweze kuwatofautisha na wasiokuwa wao.

Hivi kuna mtu anaweza kusema kwa kujiamini kabisa kuwa hao ni watu wa usalam au laa?
 
Jamaa kaji tetea vya kutosha , respect kwake ,
Ila wa Tanzania tuchukue hatua nazan ata mtu akipga cmu kituo cha police kutoa taarfa hyo ingesaidia sana kuona kuw jambo hilo lina husiana vp ,, hiyo sehemu ni mjn kat ,

Lakn pia hao pamoja na slaa kuna defence of conditions , mngewatupita mawe au kupga gari yao na mawe ,

Inasikitsha unajipambania na watu ambao wameshika slaa za moto na wapo kiraia na Gari yenye number ya kiyaria mkaawaacha nao salama
 
Tunaweza kuwalaumu walioshuhudia hilo tukio, lakiini kinachomfanya mtu ashindwe kuingilia kwa namna yeyote ni kutokujua, kuwa hao ni watu wa usalama au ni watu wengine.

Kwa sababu vyombo vyetu vya usalama haifahamiki ni kwa namna gani wanaendesha operations zao, ili uweze kuwatofautisha na wasiokuwa wao.

Hivi kuna mtu anaweza kusema kwa kujiamini kabisa kuwa hao ni watu wa usalam au laa?
Ni kweli ila wanapaswa kuw identify kwa nguo rasmi hyo nayo wanakuw wako kinyume na P.G.O , kaz ya askar kanzu nikuchunguza tuu na kuwek mazngr wezeshi mtu akamatwe na c kukamata katk mazngr hatarsh kwake , hao either ni wahun tuu mwa mcmc
 
Jamaa kaji tetea vya kutosha , respect kwake ,
Ila wa Tanzania tuchukue hatua nazan ata mtu akipga cmu kituo cha police kutoa taarfa hyo ingesaidia sana kuona kuw jambo hilo lina husiana vp ,, hiyo sehemu ni mjn kat ,

Lakn pia hao pamoja na slaa kuna defence of conditions , mngewatupita mawe au kupga gari yao na mawe ,

Inasikitsha unajipambania na watu ambao wameshika slaa za moto na wapo kiraia na Gari yenye number ya kiyaria mkaawaacha nao salama
Yaani kwakweli hata Polosi hakuna aliyepiga simu. Kazi kulaumu tu.

Tunapaswa tuwashirikishe polisi ilo tuwaumbua kama ni wao wanahusika au la
 
Tunaweza kuwalaumu walioshuhudia hilo tukio, lakiini kinachomfanya mtu ashindwe kuingilia kwa namna yeyote ni kutokujua, kuwa hao ni watu wa usalama au ni watu wengine.

Kwa sababu vyombo vyetu vya usalama haifahamiki ni kwa namna gani wanaendesha operations zao, ili uweze kuwatofautisha na wasiokuwa wao.

Hivi kuna mtu anaweza kusema kwa kujiamini kabisa kuwa hao ni watu wa usalam au laa?
Matukio haya ndio umeyasikia leo?
 
Back
Top Bottom