Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Watanzania wengi kama sio wote ni WAOGA sanaYaani kwakweli hata Polosi hakuna aliyepiga simu. Kazi kulaumu tu.
Tunapaswa tuwashirikishe polisi ilo tuwaumbua kama ni wao wanahusika au la
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wengi kama sio wote ni WAOGA sanaYaani kwakweli hata Polosi hakuna aliyepiga simu. Kazi kulaumu tu.
Tunapaswa tuwashirikishe polisi ilo tuwaumbua kama ni wao wanahusika au la
Hao ni Wanaume wa KibahaHii nchi ni ya kiku.ma sana. Inashangaza wanaume wa Dar kushuhudia mtu anatekwa na watekaji mchana kweupe bila kuchukua hatua zozote za kumsaidia.
Mtoto wa mama RWAKATARE alitekwa na Ashura, ambaye alikuwa ni MWANAMKE wakeWatekaji ni WATU WASIOJULIKANA mkuu.
Hahaah yule diwani wa ccm kawe?🤣🤣🤣Mtoto wa mama RWAKATARE alitekwa na Ashura, ambaye alikuwa ni MWANAMKE wake
Kwenu nyie masisiyemu ambao ndio waratibu wa shughuli hizo, mnaona raha sana, utafika wakati, mtaanza kutekana masiyeyemu wenyewe kwa wenyeweSaizi kutekwa sio habari ya kutisha tena.
Life speed
Huyo huyo MutaHahaah yule diwani wa ccm kawe?🤣🤣🤣
Yaani leo hii wakiingia M23 ndiyo itakuwa mwendo wa kushangaa tu mpaka wanafika sehemu fulaniAlafu mnashangaa Congo inavyovamiwa na M23 alafu Wanajeshi wao Wanakimbia.
CCM kweli wameshalifanya taifa letu sasa kuwa kama Congo.
Watanzania wamekuwa wajinga na makondoo hadi wanashindwa kumtetea mtu anayefanyiwa udhalimu mchana kweupe?
Hilo Taifa limekufa tayari.
Washajulikana.Watekaji ni WATU WASIOJULIKANA mkuu.
Utaua watu zaidi ya 10? Ukute ilikuwa na risasi mbili tu😃Mkuu Bastola na Bunduki ni Silaha za mwisho kabisa kugundulika Duniani zinaogopwa na Makomando na makachero wa aina yoyote.
Hii silaha haina Swalia mtume.
Ukiishika vizuri Komando wa Vita ananyosha mikono unless na yeye anayo
Hujui hunduki wewe.....ikilia hapa watu wote wanakimbia kila mtu anakojua🤣🤣Utaua watu zaidi ya 10? Ukute ilikuwa na risasi mbili tu😃
Kwa kweli itakuwa sijuiHujui hunduki wewe.....ikilia hapa watu wote wanakimbia kila mtu anakojua🤣🤣
Tra wanakama chombo sio mtu vitu sio watuWashkaji wa TRA wababe sana
Povu! Hayo umesema wewe.
Kijiwe kina watu wangapi atekwe yeye??
KWamba ni wachuna ngozi na ngozi yake ndio yakipekee hadi waje hadharani kumchukua?
Ni mwanasiasa kwamba wametumwa na wapinzani wake?
Mfanyabiashara ???
Hizo ni kesi binafsi anajua huyo boda na waliomfuata wamalizane mambo yao atarejea kijiweni
Kumbe ni mwizi watu wanasema ccm inamteka jamani 😅
Wapuuzi hawa vijana wa JF!! Kukamatwa kwa nguvu inaitwa kutekwa?Kumbe ni mwizi watu wanasema ccm inamteka jamani 😅
Tumejaa chuki hadi imefikia sasa hatujui tumchukie naniWapuuzi hawa vijana wa JF!! Kukamatwa kwa nguvu inaitwa kutekwa?