The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Huwezi ingia usiyojajua either ni jambazi au mla wake za watu kadakwaSawa kabisa, mwanausalama aliyeiva anakuwa na emotional intelligence na hufanya calculated moves sio kutoa silaha kiholela na kujiexpose .
Hao jamaa ninaamini wamekuta wanaowazunguka na kuchukua video ni waoga sehemu nyingine ingekuwa kama Tegeta kwa ndevu.