Video: Mtu mweusi maskini akipata hela nyingi anakuwa limbukeni

Video: Mtu mweusi maskini akipata hela nyingi anakuwa limbukeni

There's a disconnect, we don't call that money over here : Jay Z (the Stiry of OJ)
 
Halafu watu mnakuja kubishsbisha tu kwamba hatujaingia uchumi wa kati na eti awamu ya tano haijafanya kitu
Sasa huyo Ni mtanzania?.. au KWAKUWA huna exposure unafikiri...Watu weusi wapo TZ pekeyake...
 
Huyo lazima atakuwa POPO,niwashamba sana wakishapata hela zao za wizi
 
Hizo ni USD 2million ni parefu kwa mtu wa maisha ya uchumi wa kati. Bado na pesa za video youtube zinakuja yaani mwenye nacho huongezewa. Sasa post video zako za kilimo cha mchele uone utapata views ngapi
 
Hizo ni USD 2million ni parefu kwa mtu wa maisha ya uchumi wa kati. Bado na pesa za video youtube zinakuja yaani mwenye nacho huongezewa. Sasa post video zako za kilimo cha mchele uone utapata views ngapi
Kwenye you tube hatapata kitu kwasababu hakuna advertisements kwenye video yake. Jamaa ameposti kwa kukomoa inaonekana alichekwa sana. Sasa kazi iliyopo hapo ni kuzikusanya hizo hela na kuzipanga.
 
Back
Top Bottom