Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpambanie focus iwe military intelligence,drone pilot,cyber...Inaumiza sana, mwanangu anaipenda sana hii Kaz,bas mi namwangalia
Anafurahi tu....anavyogonga mbele na nyuma kwa magaidi ....amekaa tu anapiga stories na washkaji kitaa. Wanampa tano na kupiga naye stories jinsi anavyo fanya micharazo.
View attachment 3143008
He! Mbona anashindwa hata kusimama kama wenzie!?Anafurahi tu....anavyogonga mbele na nyuma kwa magaidi ....amekaa tu anapiga stories na washkaji kitaa. Wanampa tano na kupiga naye stories jinsi anavyo fanya micharazo.
View attachment 3143008
Sasa hilo si jambo la kawaida.kwani Samia anatembea peke yake? Na Ayatollah naye aende beach na kanzuWe ushangai kaenda beach na suti.
Huoni umati wa walinzi waliomzunguka ilihali yuko nchini kwake Israeli.
Unajua idadi ya Iron domes zilizopo eneo hilo?.
Ni mbishi, amekaa kinongwa nongwa, anazebeza sana adui zakeHuyo zayuni hafai kabisa.When we see him,we have seen the image of shaitwaan bin jinii!
Ni mbishi, amekaa kinongwa nongwa, anazebeza sana aduiHuyo zayuni hafai kabisa.When we see him,we have seen the image of shaitwaan bin jinii!
Kahama nyumbani,analala shimoni,ataendeleza hilo hadi disemba Ili kukwepa mahakama na tuhuma za ufisadiAnafurahi tu....anavyogonga mbele na nyuma kwa magaidi ....amekaa tu anapiga stories na washkaji kitaa. Wanampa tano na kupiga naye stories jinsi anavyo fanya micharazo.
View attachment 3143008
Huo ulinzi uliomzunguka hapo ?Anafurahi tu....anavyogonga mbele na nyuma kwa magaidi ....amekaa tu anapiga stories na washkaji kitaa. Wanampa tano na kupiga naye stories jinsi anavyo fanya micharazo.
View attachment 3143008
Aaah wapi. Akimaliza mvinyo ni mbio kwenda kutoa maelekezo mapya ya kutoa kichapo zaidi kwenye maeneo ya Kobaaz yaliyosalia.Akimaliza mvinyo mbio kwenye handaki km nguchiro
Angekuwa bi Kidawa angebebewa kiti cha nyumba kuu lkn mwamba kakalia plastic la cello tuAnafurahi tu anavyogonga mbele na nyuma kwa magaidi. Amekaa tu anapiga stories na washkaji kitaa. Wanampa tano na kupiga naye stories jinsi anavyo fanya micharazo.
Mpaka wanyooke😂Huyo zayuni hafai kabisa.When we see him,we have seen the image of shaitwaan bin jinii!
Ukiingia jeshini maana yake umeyakana maisha yako kuwa uko tayari kuifia nchiWanaokufa ni wanajeshi maana hawapaswi kuishi.... maumivu kwa familia zao.
Nyie vita si kitu kizuri Ndugu zangu