Video: Mwamba huyu hapa. Wala hajifichi kwenye mashimo. Simba hukaa sehemu za wazi siyo kama panya

Video: Mwamba huyu hapa. Wala hajifichi kwenye mashimo. Simba hukaa sehemu za wazi siyo kama panya

Kahama nyumbani,analala shimoni,ataendeleza hilo hadi disemba Ili kukwepa mahakama na tuhuma za ufisadi
WANAOLALA MASHIMONI MBONA WANAJULIKANA TU WAKIFUKULIWA NA WAO WAKIFUKUANA. 🤣🤣🤣🤣
Screenshot_2024-10-19-10-14-17-919_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2024-10-21-22-20-55-853_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-18-16-31-27-978_com.twitter.android~2.jpg
 
Wewe na huyo SHETANYAHU wako mna sehemu maalumu imeandaliwa kule JEHANAMU
Aliko Muddy? Ha ha ha.... Kipigo kipo pale pale... allah ndo atakuwa jehanamu anaandalia na wengine waende huko
 
Naona hii vita mmeamua kuifanyanyia ushabiki kama wa simba na yanga, haipendezi.
 
CCM inatumaliza na haya maisha magumu, matokeo yake na Nyinyi mlivyo Mambumbumbu mnafurahia mambo yasiyo wahusu.
Hivi tumerogwa na nani watanzania ?
 
Wewe na huyo SHETANYAHU wako mna sehemu maalumu imeandaliwa kule JEHANAMU
Aliko Muddy? Ha ha ha.... Kipigo kipo pale pale... allah ndo atakuwa jehanamu anaandalia na wengine waende huko
 
CCM inatumaliza na haya maisha magumu, matokeo yake na Nyinyi mlivyo Mambumbumbu mnafurahia mambo yasiyo wahusu.
Hivi tumerogwa na nani watanzania ?
Inashangaza nawe unaonesha ushabiki huo huo kwa kusoma na ku comment
 
Isramic repubric inawaomba mshuhudie kwa mala ya kwanza tukio Live la kuchapwa ichi mlioamishwa kuwa aipigiki ISRAMC REPUBRIC ikilichapa taifa la jehova muuwa watoto wachanga njiti. Tukio litakuwa LIVE ulimwenguni kote unakumbushwa usikiapo tangazo ili tafadhali mtaharifu na mwenzio. , PROMIS NO 3 asanten
 
Angekuwa bi Kidawa angebebewa kiti cha nyumba kuu lkn mwamba kakalia plastic la cello tu
Yeah. Mwamba ameonesha mfano Mubashara kwamba maisha sio kujiwekea msululu wa masharti eti usivae hichi, usile kile, usiache kichwa wazi, Usinyoe ndevu, usiingie chooni ukitanguliza mguu wa.., etc.etc.
Rahisishaga maisha ili maisha yawe rafiki kwako.
 
Sawa mkuu....maana yake afocus na masomo gani hasa?
Kikubwa asome IT focus iwe Cyber security anza kumuandaa mapema na PC.
Pitia google cheki hackerone,CEH,highschool hacker.
 
Mwamba ametulia, ningekuwa karibu hapo ningemnunulia hata ka bucket ajiachie huku antafakari namna ya kuendeleza adabu kwa wazee wa kobaz
HAlafu amekaa kiti cha plastic cha sherehe za kawaida za vigodoro vikoba
 
Back
Top Bottom