Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu hapo, tabia ni kama ngozi msimamo wake bado ni huo huo, hili taifa lina hasara sana, moyo wake unataka lakini akili inamgomea anamuogopa bosi.Duh..
Ila si kipindi hicho kabla hajapewa Cheo neutral
Hahahahaha..... slavery mentality kama mgombea urais wa saccos ya Chadema!!Hii video ndio tumplekee Amsterdam akaanze kuandaa kesi ICC. Huku sisi watanzania tukipeleka zuio mahakamani kumzuia huyu kada wa ccm kuwepo kwenye hiki kiti.
Hawezi kuwa neutral hata siku moja...amejificha tuDuh..
Ila si kipindi hicho kabla hajapewa Cheo neutral
This time kuitegemea tume tena ni kujitia kitanzi wenyeweDuuh! Tuna kazi kubwa Sana kuifikia nchi ya asali na maziwa. Lkn kwa pamoja tutashinda.
Nguvu ya umma humuondoa hata dikteta madarakani.
A long walk to freedomKwa video Hii, nchi zingine angejiuzuru ukurugenzi wa tume Mara moja.Hii tume itavuruga mshikamano wa nchi na amani
Hata cheo alichokuwa nacho wakati huo alitakiwa kisheria awe neutral. Kwani hujasikia ikiwa hivi nitamtangaza mpinzani? Maana yake alikuwa na mamlaka ya kusimamia uchaguzi, ila kwake kigezo cha kutangazwa mshindi sio kuchaguliwa na wananchi wengiDuh..
Ila si kipindi hicho kabla hajapewa Cheo neutral