Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Pius ana nini lakini,pius?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Funguka hata kidogo mkuu.Ungekuwa unamjua Salah na jinsi anavyowafanya ungemuonea huruma Mwijaku.
Shoga hilo linajitangaza mitaa ya MarekaniHapo kakosea nini? Mbona kiungo Cha uchi kimefunikwa ndani ya suruali?
Unamjua Salah wa Silent Ocean?Duh! Funguka hata kidogo mkuu.
Shoga ndio tabia zao mashogaRihanna huko anatembeaga kitumbua nje hamna cha ajabu hapo
Land of the free home of the brave
Kwa hiyo Mwijaku rinda lina mushkel?Duh! Funguka hata kidogo mkuu.
Eti Hii Ya Chama Cha MambuziSerikali ipi
😀 Ndiyo mkuu huyu mwenye undugu na GSM.Unamjua Salah wa Silent Ocean?
Oohooo 😯😯😯Kwa hiyo Mwijaku rinda lina mushkel
Naona amekutuma uje kumpromote.Inakuwaje wanajamvi.
Hii sasa ni too much.
Mhamasishaji, mchekeshaji, mtangazaji, msomi na chawa mkuu maarufu nchini DC Mwijaku the national disgrace katoa mpya huko mitaani New York.
Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na ambaye yuko ziarani Marekani akiambatana na mke wake kafanya vioja vya aina yake kwenye mitaa maarufu Jijini New York akijirekodi na kuposti kwenye ukurasa wake wa FB huku akiwa kifua wazi na boksa kuonekana.
Wadau wengi wamekasirishwa sana na kitendo hiki na hii tabia yake ya kukera na kuiomba Serikali ingilie kati kumkanya na kumkataza kwa tabia hii kwasababu ana aibisha taifa na anatuabisha.
Wadau wengine wamecomment mbona baba Levo, joti Doto Magari na Mpoki hawako hivo?
Mwengine kakasirika na kudai mwijaku anaaibisha imani yake na familia yake.
Hata hivyo kuna wengine wamemuunga mkono Mwijaku kwenye huo utopolo wake na kumpongeza eti kila mtu ana uhuru wa kufanya na kuishi maisha yake anavyopenda ilmrad havunji sheria za nchi.
Video hapo chini.
View attachment 3085944
mrangi Accumen Mo dronedrake King Kong III
Uliona akifanywa au ulifanywa funguka mkuu usione aibu.Ungekuwa unamjua Salah na jinsi anavyowafanya ungemuonea huruma Mwijaku.
Sijui umejuaje mkuu kwasababu kuna siku aliniambia niwe stanby nimrekodi akitatuliwa rinda halafu niiposti eti itamuongezea umaarufu. Nilichoka maamae nikatamani ni commit suicide nife nipotee kabisa ilmardi tu nisishare the same earth and oxygen with sycophants maamae.Naona amekutuma uje kumpromote.