Video: Mwizi kapatikana, kwa adhabu hii harudii tena

Video: Mwizi kapatikana, kwa adhabu hii harudii tena

Yani mtu amewahi mpaka kuchukua tuzo kwenye jukwaa la celebrities afu kajitu kanatoka makamasi eti unakuja kumfokea na kumtisha block cocastic [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Watu bhnaa [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anatafuta kujulikana JF kupitia mie. Maana alikua na uwezo wa kumute kutojibu comment ang au kuniblock kimya kimya,

Akaona atembee na kiki kwangu, woiiiiih
 
Wananchi wamemwambia Mwizi "sisi hatukupigi hata kidogo, ila we amisha maji kwenda ndoo nyingine kisha ondoka".

ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2884400

Nini maoni yako?
Alichoiba ni nini ?.
Kama ni maji nipe anuwani yake nikamchimbie kisima
Hao wajinga wanamsumbua kwa kuchota ndoo 1 maji ya kunywa watakwenda kuchota kwake bure mabomba yao yakikaukaa maji ya Dawasa
 
Back
Top Bottom