The Panther
Member
- Feb 2, 2012
- 62
- 39
We uliepost hii footage lengo lako nikuonyesha nini..maana hiyo dak 1.18 haionyeshi vurugu yoyote au we ni mke wa Makonda? kakutuma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unavurugwa mtaa wa LUMUMBA
umesahau na hii pic ya makonda kumpiga warioba
sawaka, kweli unamfahamu Makonda? Hebu ziangalie kwa makini hizi picha mbili;hiyo picha ni dhahiri makonda anasaidiana na askari kumuokoa warioba
Hivi kazi ya taasisi ya Nyerere foundation ni kupinga katiba tu?
Tusubiri sheria ichukue mkondo wake maana wote wanafahamika na tumeshuhudia kwa macho yetu walichomfanya Mzee Warioba. Ikishindikana umma utawachukulia hatua mmoja mmoja au wote kwa pamoja.
IVI WEWE unategemea maadui wa MAKONDA WAWE CHADEMA makonda anavyoyatukana makundi mengine ndani ya CCM unategemea adui yake AWE CDM anavyomsakama LOWASA kwenye mitandao bado unategemea adui yake atoke nje ya CCM au umeingia jana kutoka DUBAI, ZITO alijitakia mwenyewe MWIGULU lazima CDM wamchukie kwakuwa aliuwa watu kwenye mkutano wao we unategemea MUUAJI APENDWE na WAFIWA au BINADAMU YEYOTE asiyependa dhambi tene kubwa kama uuaji????? we vp!!!!
kwa akili hii bado unataka kusikilizwa maoni yako.hao vijana walioleta fujo ni wasaliti na maadui wa taifa. kama serikali haitawachukulia hatua, si wanaonekana kwa sura, wanajulikana tunao huku mtaani, kwanini tusiwafuate hukuhuku mtaani tuwale kabang ili iwe fundisho kwa vijana wengine wanaotumiwa? nchi hii ya kipumbavu sana.
kwa akili hii bado unataka kusikilizwa maoni yako.
warioba hajapigwa. Huo ulikuwa ni uzushi wa vijana walioandaliwa kufanya fujo ili ionekane kuwa ccm ndo wamefanya fujo
sawaka, kweli unamfahamu Makonda? Hebu ziangalie kwa makini hizi picha mbili;
![]()
Je unamuona huyo chizi kwenye hii picha hapo juu?
![]()
Je kwenye hii picha huyo unadhani huyo Makonda katokea wapi?
Kwa mtu mwenye akili timamu hizo picha mbili zinatoa taswira ya kilichotokea bila chenga.
Kumtandika mtama mtu mzima namna ile inahitaji cheti feki , hivi hivi haiwezekani .Tujikumbushe ajenda ya siri ya chama cha wahuni na mafisadi kupinga rasimu ya Warioba.
Kumtandika mtama mtu mzima namna ile inahitaji cheti feki , hivi hivi haiwezekani .
Ni mume wako dadaangu !Hivi Makonda ni nani hasa?