Video na picha: Waafrika weusi tii walioishi India miaka elfu 60

Mapiramidi ya giza yalikuwa majengo marefu duniani kwa miaka takriban 3800 mpaka lilipojengwa kanisa hili la lincoln cathedral
 
Yaani ule msemo wa "hata mbuyu ulianza kama mchicha ni kweli kabhisa" hawa jamaa walianza kujenga mapiramidi madogo madogo huku wakijaribu na kushindwa.
 
Mkuu ukisema chanzo cha watu hao weusi kuwepo hindia, ni mtumbwi wa wavuvi ulio potea baharini, unamaanisha huwo mtumbwi ulikua na wavuvi wanaume na wanawake, mimi hoja yako siiungi mkono kutokana ninavojuwa mimi, wanawake weusi hawana tabia ya kuvuwa samaki baharini na kuwinda wanyama porini, kazi hizo ni za wanaumetu.
 
Mkuu ukisema chanzo cha watu hao weusi kuwepo hindia, ni mtumbwi wa wavuvi ulio potea baharini, unamaanisha huwo mtumbwi ulikua na wavuvi wanaume na wanawake, mimi hoja yako siiungi mkono kutokana ninavojuwa mimi, wanawake weusi hawana tabia ya kuvuwa samaki baharini na kuwinda wayamanya porini, kazi hizo ni za wanaumetu.
 
Tukisema waafirika tuliwahi Utawala ulimwenguni vichwa ngumu wanabisha.Haya sasa walifikaje huko kama hawakuwa na idea ya navigation?
Kwani kuwepo huko kunamaanisha kuwa watu weusi tulitawala dunia?

Je kama mara baada tu ya kuumbwa (if u believe in creation) waliishi huko?
 
Daah...huyo wa kwenye picha ya 3 ana chura yaani keshanifanya nikaenda kutafuta sabuni bafuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…