Mkuu hiyo siyo asili yetu waafrika,lakini ilianza zamani huko uyunani.tazama mchoro huu kutoka kwa waegia wa uyunani.kutafuta sabuni bafuni.
Hahaha...hapo jamaa anamvutia picha Cleopatra.Kuna fununu kuwa hata wamisri wa kale walikuwa wakifanya, lakini kulikuwa na sababu,inasemekana lilikuwa swala la kiimani zaidi.