MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Hali sio nzuri Ufaransa Kumekuwa na Maandamano Nchi nzima ya Ufaransa.
Kumekuwepo na Hali ya Uvunjifu wa Haki za Binadamu ikiwemo Demokrasia
Polisi wanatumia Nguvu na Kupiga Raia Hovyo hovyo. Vyombo vya habari vingi Vimenyamanza na Huwasikii kabisa Kuhusu hili tofauti na Yanapo tokea Kwingineko.
Hapa tutaweka Video,Picha na Taarifa ya kila kinacho tokea Ufaransa
Hii ni Mapigano kati ya Waandamanaji na Polisi yaani Piga Nikupige
VIDEO
PICHA
Polisi walivyo wapiga Raia
Kumekuwepo na Hali ya Uvunjifu wa Haki za Binadamu ikiwemo Demokrasia
Polisi wanatumia Nguvu na Kupiga Raia Hovyo hovyo. Vyombo vya habari vingi Vimenyamanza na Huwasikii kabisa Kuhusu hili tofauti na Yanapo tokea Kwingineko.
Hapa tutaweka Video,Picha na Taarifa ya kila kinacho tokea Ufaransa
Hii ni Mapigano kati ya Waandamanaji na Polisi yaani Piga Nikupige
VIDEO
PICHA
Polisi walivyo wapiga Raia