Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona ulivyojiumbua!! Hii koment ndiyo ilipaswa iwe uzi wako na si ulichokiandika hapo juu.. Hayo mapicha na mavideo uliyoyaokota mtandaoni ilikuwa geresha na kutafuta kuteka akili za wasiotumia akili.Hakuna Mgogoro Dunian Ukatokea Hao wasihusike
Hao ni Vihelehele kwa Yasio wahusu
Ndio maana wanalalamikiwa
Uchina Urusi Hawanaga Muda na Mambo yasio Wahusu ndio Maana Wanapigania Uhuru wa Dunia yaani kila Taifa liwe na Uhuru wake kamili sio kupangiana.
Yanapo tokea maandamano Kwingine hao huwa wakwanza Kutoa matamko kutwa
Uelewa wako Nimdogo sanaOna ulivyojiumbua!! Hii koment ndiyo ilipaswa iwe uzi wako na si ulichokiandika hapo juu.. Hayo mapicha na mavideo uliyoyaokota mtandaoni ilikuwa geresha na kutafuta kuteka akili za wasiotumia akili.
Kwanini uone uhalali wa wafaransa kuandamana, nchi ambayo raia wake wanapata huduma zote za kijamii kwa ufasaha, wana uhuru wa kuandamana na kutoa maoni na kukosoa serikili yao at the same time uoni haki ya kuandamana kwa raia wa iran(nchi ya ulimwengu wa 3) huduma za kijamii ni duni, hakuna haki ya kutoa maoni wala kumkosoa kiongozi wao.. Ikitokea wameandamana inakuwa wamedanganywa!!.
Kwa akili ya komavu, nchi za ulimwengu wa 3 ndiyo zilipaswa kuwa na maandamano yasiyo na Kikomo kwa maana viongozi wao wanawanyonya zaidi wananchi wao.
Nimsaidie kujibu nini? Yaan unaashumu tu vitu then unataka watu wakujibu?Tusaidie kumjibu huyu hili swali
View attachment 2566369
Hii hali ikitokea Uganda na Vile walivyo Gomea Ushoga Sijui ItakuwajeKwa hiyo maandamano ya Iran hayakuripotiwa na vyombo vya habari?
Iran ilisema nchi za Magharibi zinahusika na maandamano kwasababu nchi zote za Magharibi zilitoa tamko la kuunga mkono waandamanaji lakini mpaka sasa hatujasikia Iran ikiwaunga mkono waandamanaji wa ufaransa.
"Maandamano Nihaki yakila Raia"..Uelewa wako Nimdogo sana
Maandamano Nihaki yakila Raia na Kila Taifa
Jambo lilipo hapa nikwanini Yanapotokea Maandamano Kwingineko Hayo mataifa husema Wanaungana na Raia na Kuunga Mkono hayo Maandamano
Ikiwapo kutoa Onyo Kuhusu Raia Kupigwa au Polisi kutumia Nguvu
Swali ni jeKwanini Ufaransa Yanatokea na Hatusikii Yale matamko wanayo yatoa kwa nchi zingine?
Na Unakubariana na Kinacho fanywa na Polisi wa Ufaransa kupiga Raia?
Mbona Hatusikii Onyo kwa Ufaransa?
Kwanini wanapigwa Raia?"Maandamano Nihaki yakila Raia"..
Hii haki ya kuandamana haijavunjwa uko ufaransa, hipo na ndiyo inafanya waandamanaji wawe barabaran hadi leo.
Ikiwa serikali ya ufaransa imesema hakuna maandamano hapo utakuwa na hoja ili hizi zingine ni ngonjera tu.
Swali zuri sana.Yaani imekuuma Sana Sindio
Yalitokea Maandamano kama hayo Ukrein 2014
Ulisikia Marekani ,France na UK walicho Kisema
Kwanini leo wapo kimya?
Sasa kama ni haki yao kuandamana wann wana wapiga na kuwarushia mabomu ya machozi?"Maandamano Nihaki yakila Raia"..
Hii haki ya kuandamana haijavunjwa uko ufaransa, hipo na ndiyo inafanya waandamanaji wawe barabaran hadi leo.
Ikiwa serikali ya ufaransa imesema hakuna maandamano hapo utakuwa na hoja ili hizi zingine ni ngonjera tu.
Jibu au toa Mawazo kuhusi Hicho alicho Kiuliza Acha Ngonjera
Iran ni Ulimwengu wa 3 ?Ona ulivyojiumbua!! Hii koment ndiyo ilipaswa iwe uzi wako na si ulichokiandika hapo juu.. Hayo mapicha na mavideo uliyoyaokota mtandaoni ilikuwa geresha na kutafuta kuteka akili za wasiotumia akili.
Kwanini uone uhalali wa wafaransa kuandamana, nchi ambayo raia wake wanapata huduma zote za kijamii kwa ufasaha, wana uhuru wa kuandamana na kutoa maoni na kukosoa serikili yao at the same time uoni haki ya kuandamana kwa raia wa iran(nchi ya ulimwengu wa 3) huduma za kijamii ni duni, hakuna haki ya kutoa maoni wala kumkosoa kiongozi wao.. Ikitokea wameandamana inakuwa wamedanganywa!!.
Kwa akili ya komavu, nchi za ulimwengu wa 3 ndiyo zilipaswa kuwa na maandamano yasiyo na Kikomo kwa maana viongozi wao wanawanyonya zaidi wananchi wao.
Si, Irani tu hadi China bado ni ulimwengu wa tatu.Iran ni Ulimwengu wa 3 ?
Ngoja nikutajie baadhi ya nchi za ulimwengu wa 3.
Kenya
Tanzania
Zimbabwe
Iran yupo kundi moja na hao?
Wana haki ya kuandamana?
Mbona wanadundwa sasa, si wawaache waandamane
China inakuwa Ulimwengu wa tatu wakati huo Ureno na Spain zipo Ulimwengu wa kwanzaSi, Irani tu hadi China bado ni ulimwengu wa tatu.
Sasa kama ni haki yao kuandamana wann wana wapiga na kuwarushia mabomu ya machozi?
Sasa hapo wana tofauti gani na Iran unayo iita madekteta?
China mwenyewe hadi leo hataki kutolewa kwenye nchi za ulimwengu wa 3 kwasababu ya manufaa fulani.China inakuwa Ulimwengu wa tatu wakati huo Ureno na Spain zipo Ulimwengu wa kwanza
Nini kinaifanya Iran kuwa Ulimwengu wa tatu?Si, Irani tu hadi China bado ni ulimwengu wa tatu.