Akose kwa lipi? yeye ndo wa kwanza kufanya ujinga? hamuwaoni wanaomuattack. Ulitaka akae chini alie??Aache bange yeye ni brand kubwa sana anaweza jikosesha deal kipumbavu maana kulamba deal za corporate sio kazi ndogo
Unaangalia size ya mwanaume mwenzio🥺🥺🥺🥺Tunaangalia size
Dhambi za kujitakia hizi.....hahahahaNdio tayari tena [emoji16][emoji16][emoji16][emoji115][emoji115]
Hujaeleweka !!!Nachoombea kwa sasa ni mleta mada asiwe wa kiume
Hujaeleweka !!!
Kwamba akiwa wakiume hawezi kupost habari zinazo trend za mtu mashuhuri katika jamii ,
Na kuomb wadau watoe maoni kwa public figure Hawa ,
Ujinsia wake unahusika vipi???
Anataka aone mboo ya mshkaji afu sijui aifanyie nini.
Hana hiyo akili, wenzake walitulia tu walikuwa wanamtafuta kimya kimya hatimae kanasa. Yeye akili za bangi anahangaika kujibu.Harminize, chukua na wewe time, usiwajibu sasa hivi..waache waropoke weee, wadanganye weeee,upepo ukitulia na wewe rudisha makombora,kumchinja kobe kunahitaji timing, timing is what you should have in mind for now..lol
Nimemshangaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ehh, mwanaume kutaka kutumiwa sehumu za siri za mwanaume mwenzake tena kwa kusisitiza, huu nao ni upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Konde boy anazingua na kiki zake za kishamba. Kama kashindwa kuimba arudi tu Mtwara akalime korosho.
wew unawajua wasanii wew? Kwan ile video ya nandy na bill nas unadhani ulitoka kwa bahati mbaya?Kiki hadi ifikie kutumia utupu wake?? Sidhani!!
kikubwa ashukuru tu hana kilemutuz la sivyo angesimangwaa mpakaa
Huyu ndiye Jiwe alipendekeza awe mbunge, dah ukistaajabu ya huyu msanini utashangaa ya Gwajiboy ambaye yeye yuko mjengoni kabisa.Katika hali ya kustaajabisha recorded video call na picha za sehemu za Siri za msanii harmonize zaavujishwa;
Inasemekana aliyekuwa girlfriend wake( bongo movie )akishirikina na maasimu wa msanii Huyu wavujisha picha hizo..