Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Nimesikiliza hiyo clip mara tatu, halafu nikaangalia yule mgonjwa kaamka fasta na ana nguvu zake halafu akatimua mbio eti kutoa jinni mahaba. Haya waumini enendeni kwa Amani.Eti piga kelele!, pesa hizi nyie, we acha tuu !.
Wangefanya kama Rwanda tu wayafute makanisa yote ya dizaini hii,eti nabii sketi aliyovaa tu ni aibu imebana kama wanawake wanaojiuzaga mjini ni upumbavu wa hali ya juu kabisaBiashara kama zingine tu ila hii ni mbaya zaidi hata kiuchumi, mijamaa haifanyi kazi, Ulongo Ulongo tu daily, wajinga wao wakiwachangia.
Waliwahi kuhubiri kwe nyumba za ibada?wakati wa Yesu walikuwa wanawake Mariam maddelena na Mariam yule
dini ya magaidi ndio hipi? ile ya ISIS au Al qaedaNdio alili yko ilipofikia kuamin propaganda. Tuliza akili chini utafakar mtu mzima wew.
PovuuuuuNdio alili yko ilipofikia kuamin propaganda. Tuliza akili chini utafakar mtu mzima wew.
Kwa jirani sio kwako[emoji19]Mimi ni mkristo lkn dini ya kiislam naikubali sana
hainaga mambo mengi.
Mashallah Mkuu njoo huku hakuna longolongo kama hizo unasoma tu kitabu kitu kinapanda chenyewe haina mambo ya piga keleleMimi ni mkristo lkn dini ya kiislam naikubali sana
hainaga mambo mengi.
Sikiliza vizur pale anaposema "mpe Amani huyu msichana" baada hapo ukiskiliza vizuri ndo anamwabia "lia kwa nguvu, " piga kelele" halafu hata kama hujaskia matendo tu ndo yanaonesha hivi MTU aloanguka na majini asimame mwenyewe baada ya sekunde?? Na alivokuwa anakung'uta nguo utafikiri jini mahaba yupo kwenye Nguo, Aisee Mungu awasamehe tuMbona sijaona kitu kama kupangwa katika video zaidi ya utani wa Dj Choka naye akijifanya anaombea mapepo kwa mdada. Lakini wadau walivyocomment sasa ???!!
Siku hizi wamechonga lonasanamu jeusi ili kuonesha nalo ni li-AfrikaNi kweli unachosema aisee lile ni sanamu la mzungu tu nashangaa watu wanaliabudu na kuliomba wakilipigia magoti na haitoshi wakaona waliweke mpaka kwenye nyumba zao za ibada waliabudu vizuri ili ibada yao itimie kwa kuabudu sanamu.
Ujinga ni ujinga tu kamwe haufutwi kwa kwenda shule unaweza kwenda shule na bado ukabaki kuwa mjinga tu.
Ni hatari sana.
Lijinga sana hili limama. Nimeona hiyo clip. Linajitetea eti alimwambia yule mwanamke alie kwa nguvu ili kuondoa uchungu alionao moyoni....[emoji21] [emoji21] .Nimeona clip nyingine eti anaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza kwenye hiyo video ya maombezi. ......
Eti ni kitu amekuwa akifanya muda mrefu....
Pia hili limetokea kwa sababu Mungu ameamua watu wengi wenye shida waende kanisani kwake kuombewa
Lijinga sana hili limama. Nimeona hiyo clip. Linajitetea eti alimwambia yule mwanamke alie kwa nguvu ili kuondoa uchungu alionao moyoni....[emoji21] [emoji21] .
Wakati hoja haikuwa uchungu moyoni bali alikuwa anafukuza jini mahaba!!. Ama kweli wakristo ni wajinga. Hata hiyo nayo hamgundui kuwa uongo?
Mtaalamu mmoja alisema Dini ni aina mojawapo ya ulevi katika jamiiNa bado mijinga imejaa kule nyuma imekaa tu. Ila ipo siku wataelewa tu.
In Shaa Allah.
Ni sehemu ya kuhamasisha neno. Mbona wasanii wa bongo fleva huwa wanasema Piga keleleeeee! Na watu wanapiga kelele kweli. What is the difference. Kwanini wasijipigie kelele wenyewe mpaka waambiwe?" lia kwa nguvu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]
Mkuu, umesikiliza au uko gizani bado? Au hutaki kuamini maana hizi imani kazi tunayo......Mhhhhhhhhhhhh!
kitendo cha korani kuiacha kwenye lugha mama ya dini ilikuwa na maana kubwa sana. ni vigumu mtu kuingiza mbwembwe zako kihuni wakati unahubiri. safi sana kwa hilo.Mimi ni mkristo lkn dini ya kiislam naikubali sana
hainaga mambo mengi.
Yasingetokea madhehebu kama hilo tu, lingetosha kuuacha ujumbe wake wa asili ufike. Hazibatilishwi ktk maandishi bali tafasiri zake ndugu.kitendo cha korani kuiacha kwenye lugha mama ya dini ilikuwa na maana kubwa sana. ni vigumu mtu kuingiza mbwembwe zako kihuni wakati unahubiri. safi sana kwa hilo.