Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu uchaguzi unaweza kuwa ndio uchaguzi mgumu mno kwa CCM , mipango na mikakati ya CHADEMA ni mikubwa mno!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampeni zikishaanza ndio utajuaHiyo mipango inamjumuisha Shilla pia?
KIBALI CHA KUKUSANYA WATU AMEKIPATA WAPI?Huu uchaguzi unaweza kuwa ndio uchaguzi mgumu mno kwa CCM , mipango na mikakati ya CHADEMA ni mikubwa mno!
View attachment 1501635
KIBALI CHA KUKUSANYA WATU AMEKIPATA WAPI?
Sasa mjomba bila kujipitisha pitisha wadhamini watapatikana wapi ?Tume ya Uchaguzi lamba kichwa hicho kimeanza kampeni kabla ya muda
Huyu ndugu anaejiita billionaire shilla si amewekwa kuzuizini sijui hata kwa kosa ganiHuu uchaguzi unaweza kuwa ndio uchaguzi mgumu mno kwa CCM , mipango na mikakati ya CHADEMA ni mikubwa mno!
View attachment 1501635
Watanzania tumekuwa tukisia hiyo "chorus" kwa miaka nenda rudi ila haijapata kibwagizo kipya na uhalisia mpya. Huo ni wimbo wa zamani usio na matokeo yoyote kwa anayeimba, anayeimbiwa na anayesikiliza. LETENI "CHORUS" MPYA. HII IMEKOSA MVUTO!CCM bila ya Rushwa kilechama kingekuwa kimeshakufa zamani sana.ila mwisho wake unakuja.
Nabii pekee anaetoa hela kwa waumini wake,Huu uchaguzi unaweza kuwa ndio uchaguzi mgumu mno kwa CCM , mipango na mikakati ya CHADEMA ni mikubwa mno!
View attachment 1501635
Huyo nabii anavijisenti vya kitapeli ndio maana CDM wanakikimbilia. Si unajua makamanda nI pesa na sawa na mgonjwa na UJI!Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
yuko huruHuyu ndugu anaejiita billionaire shilla si amewekwa kuzuizini sijui hata kwa kosa gani
Alitapeli nini ?Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
Kama ungekuwa unajua kinacho endelea majimboni muda huu ungefyata hicho kidude chako ungekieka pembeni kipoe.Watanzania tumekuwa tukisia hiyo "chorus" kwa miaka nenda rudi ila haijapata kibwagizo kipya na uhalisia mpya. Huo ni wimbo wa zamani usio na matokeo yoyote kwa anayeimba, anayeimbiwa na anayesikiliza. LETENI "CHORUS" MPYA. HII IMEKOSA MVUTO!
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]Wameshampitisha tayari?Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
You are out of context, hivyo sina muda wa kujibu non- contextual issues unazo taka kuziibua, HALAFU jaribu kuleta HOJA siyo VIHOJA NA VIOJA!Kama ungekuwa unajua kinacho endelea majimboni muda huu ungefyata hicho kidude chako ungekieka pembeni kipoe.
Rushwa inaanzia kwenye kura za maoni hadi wakati wa uchaguzi ndio maana kila kukicha takukuru wanawakamata.
Wewe endelea na mahaba yako tu.