Uchaguzi 2020 Video: Nabii Shilla akiwa kwenye harakati za kikamanda za kutafuta wadhamini huko Kilombero

Uchaguzi 2020 Video: Nabii Shilla akiwa kwenye harakati za kikamanda za kutafuta wadhamini huko Kilombero

CCM bila ya Rushwa kilechama kingekuwa kimeshakufa zamani sana.ila mwisho wake unakuja.
Watanzania tumekuwa tukisia hiyo "chorus" kwa miaka nenda rudi ila haijapata kibwagizo kipya na uhalisia mpya. Huo ni wimbo wa zamani usio na matokeo yoyote kwa anayeimba, anayeimbiwa na anayesikiliza. LETENI "CHORUS" MPYA. HII IMEKOSA MVUTO!
 
Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
Huyo nabii anavijisenti vya kitapeli ndio maana CDM wanakikimbilia. Si unajua makamanda nI pesa na sawa na mgonjwa na UJI!
 
Hapa Tz hakuna kitu kinanitoaga stress kama siasa hasa nikiwaona makanda na manabii wenye nia yakiwatoa makafiri utumwani kama gwajima.
 
Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
Alitapeli nini ?
 
Watanzania tumekuwa tukisia hiyo "chorus" kwa miaka nenda rudi ila haijapata kibwagizo kipya na uhalisia mpya. Huo ni wimbo wa zamani usio na matokeo yoyote kwa anayeimba, anayeimbiwa na anayesikiliza. LETENI "CHORUS" MPYA. HII IMEKOSA MVUTO!
Kama ungekuwa unajua kinacho endelea majimboni muda huu ungefyata hicho kidude chako ungekieka pembeni kipoe.
Rushwa inaanzia kwenye kura za maoni hadi wakati wa uchaguzi ndio maana kila kukicha takukuru wanawakamata.
Wewe endelea na mahaba yako tu.
 
Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]Wameshampitisha tayari?
 
Kama ungekuwa unajua kinacho endelea majimboni muda huu ungefyata hicho kidude chako ungekieka pembeni kipoe.
Rushwa inaanzia kwenye kura za maoni hadi wakati wa uchaguzi ndio maana kila kukicha takukuru wanawakamata.
Wewe endelea na mahaba yako tu.
You are out of context, hivyo sina muda wa kujibu non- contextual issues unazo taka kuziibua, HALAFU jaribu kuleta HOJA siyo VIHOJA NA VIOJA!
 
Back
Top Bottom