Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Hivi huyu anaejiita NABII hachanganyi DINI na SIASA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuwahi kujiapiza kama GwajimaHivi huyu anaejiita NABII hachanganyi DINI na SIASA?
Well said Brother yaani umemaliza kila kitu, mimi nimeshawapuuza kabisa na nimeamini Tanzania hakuna Chama mbadala ni majizi tu yoteTatizo kubwa sana la CHADEMA kama chama kwa ujumla wake wanapenda sana kuishuari serikali na ushauri wao ukikataliwa na serikali watapiga kelele kuanzia mwenyekiti mpaka mwanachama wao wa mwisho chini kabisa. Ila wao ukiwashauri badala aidha waukubali shauri wako au waukatae matokeo yake utakoga matusi ya kila aina. Hawapendi kabisa kuambiwa ukweli sijui nani kawaloga.
Ki ukweli Vetting ya Chadema aliondoka nayo Dr. Slaa. Nilikuwa naiona CHADEMA kama taasisi kubwa sana kwa miaka takribani 10 iliyopita lakini nimekuja kugundua tofauti kabisa na ninavyozani baada ya kuwaona wanavyomshangilia huyu jamaa mitandaoni. Nilitegemea mpaka sasa kuwa CHADEMA iwe imeshaandaa kizazi kingine makini cha kuwasaidia wakina Halima Mdee, Mnyika, Heche, n.k. Kwenye uchaguzi wa mwaka huu wakiendelea kuokotaokota kama walivyoanza sasa wajiandae na anguko kubwa sana litakalotokana na wagombea wao wengi kujitoa dakika za mwishoni na kuwaacha wapinzani wao kupita bila kupingwa. Mwenye masikio na asikie na mwenye macho aone.
Si bure wewe pia mla ruzuku na upo humu kwa kazi maalumu ila ndiyo ujue biashara yenu wachaga imekwisha. Tuliwatetea tukadhani mna Chama kumbe majizi tuHuyo ni mtia nia njoo na mgombea wako mlete uchafu wa Shilla kwenye vikao ajadiliwe , vinginevyo hizi zitakuwa porojo tu
Sikuwahi kudhani unaweza kuwa mjinga kiasi hikiHakuwahi kujiapiza kama Gwajima
😆😆😆😆 Umepanic kibwege sana !Sikuwahi kudhani unaweza kuwa mjinga kiasi hiki
Kwa tume hii ya uchaguzi; anajisumbua tu. Ahamasishe kujenga chama chake tu kwa ajili ya uchaguzi utakaosimamiwa na tume huru.Huu uchaguzi unaweza kuwa ndio uchaguzi mgumu mno kwa CCM , mipango na mikakati ya CHADEMA ni mikubwa mno!
View attachment 1501635
Huku kwenye ukabila nilijua utafika tu .Si bure wewe pia mla ruzuku na upo humu kwa kazi maalumu ila ndiyo ujue biashara yenu wachaga imekwisha. Tuliwatetea tukadhani mna Chama kumbe majizi tu
🙄 Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe😆😆😆😆 Umepanic kibwege sana !
kila siku siyo jumapili .Kwa tume hii ya uchaguzi; anajisumbua tu. Ahamasishe kujenga chama chake tu kwa ajili ya uchaguzi utakaosimamiwa na tume huru.
Huo ndiyo ukweli DadaHuku kwenye ukabila nilijua utafika tu .
Nikipita watu wakajkusanya kunifuata nifanyeje?KIBALI CHA KUKUSANYA WATU AMEKIPATA WAPI?
Kama kweli huyu ni MKWELI, basi wampitishe agombee!Huu uchaguzi unaweza kuwa ndio uchaguzi mgumu mno kwa CCM , mipango na mikakati ya CHADEMA ni mikubwa mno!
View attachment 1501635
atawanyoosha tu!Huyo nabii anavijisenti vya kitapeli ndio maana CDM wanakikimbilia. Si unajua makamanda nI pesa na sawa na mgonjwa na UJI!
Ila wewe tapeli sana 😂😂😂endelea kuunga mkono Chadema ni chama makini sana , Dr Slaa uliyemuabudu alinunuliwa na kuhongwa ubalozi , na hivi tunavyoongea yuko chama kimoja na Sumaye na Lowassa aliodai kuwakimbia Chadema
Ila hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake
[chadema imeshajifia siku nyingi
endelea kusubiri mkuu hadi kiamaCCM bila ya Rushwa kilechama kingekuwa kimeshakufa zamani sana.ila mwisho wake unakuja.
ajidhamini mwenyewe yeye si bilioneaSasa mjomba bila kujipitisha pitisha wadhamini watapatikana wapi ?
hafiki popote huyo mkuu wala usipate shidaIla hapa hakuna mwanasiasa but why Chadema hajifunzi tu, hichi kitoto kitapeli mwanzo mwisho ila leo mmeshaanza kukipamba. Siasa ni ujinga tu kila mtu apambane kivyake