Tatizo lenu CDM hamjifunzi, hichi kitoto ni kijinga na kinapenda umaarufu tu. Lakini kwasbbu mnapenda pesa, najua kwenye hivyo vikao vyenu atapitishwa tu. Ila ifakara hapiti, lile jimbo mmeshalipoteza.Huyo ni mtia nia njoo na mgombea wako mlete uchafu wa Shilla kwenye vikao ajadiliwe , vinginevyo hizi zitakuwa porojo tu