Upo sahihi, hakuna ajaliJamani hivi hamuoni iyo video iko edited, yaan wakati inatembea na kutoa vumbi fasta kuna kama 'cut ya video' ya millisekunde na kuonekana moto?
Jamani angalieni tena ivyo video kwa umakini zaidi bila kupepesa macho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi, hakuna ajaliJamani hivi hamuoni iyo video iko edited, yaan wakati inatembea na kutoa vumbi fasta kuna kama 'cut ya video' ya millisekunde na kuonekana moto?
Jamani angalieni tena ivyo video kwa umakini zaidi bila kupepesa macho.
Mercenaries ni wanajeshi wanaolipwa.Paka pori ni paka pori hafugiki bro!
Na HILO analijua putin!
Atawamaliza ado ado....
Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Kichapo kinaendelea kwanani sasa zaidi ya kuwaua waukraine wasio na hatiaPropaganda za NATO tu hizo. Kichapo kitaendelea tu hakuna namna mpaka mashoga yote duniani yapotee kabisa!!
Wagner watawapumulia hapo kwenye kidogoHao Mali wanalalamikia vikundi vya kigaidi vya kiislam wakati tena wanashirikiana na Wagner ambao ni magaidi vilevile sasa wanafanya nini.
Wanaruka mkojo na kukanyaga kinyesi. Bure kabisa.
Wangemlawiti PUTIN amwombe sana yule Alexander ungekuta Putin Hana MarindaHata putin hawapendi Wagner!
Ilibakia Kidogo wamchinje...
Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Daily Mail tu ndiyo wameona tukio hilo!! Sijui wanatuonaje?Jamani angalieni tena ivyo video kwa umakini zaidi bila kupepesa macho.
Wagner ni askari wa kukodi tuHivi ni sababu gani ya Wagner kuruhusiwa kuendelea na operation zao huku Afrika? Ni kweli kuwa hizo nchi hawajui kuwa Wagner wanaweza kuwapindua?
hahahaa ameloa ? we jamaaKwel umeloa
Ukraine sio wana NATO.Propaganda za NATO tu hizo. Kichapo kitaendelea tu hakuna namna mpaka mashoga yote duniani yapotee kabisa!!