felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Hoja ya mgonjwa wa akili.Kwa hiyo unataka waziri anyeshe mvua?
Nadhani hata mkeo akichepuka nyumbani unalaaumu waziri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja ya mgonjwa wa akili.Kwa hiyo unataka waziri anyeshe mvua?
Nadhani hata mkeo akichepuka nyumbani unalaaumu waziri?
Si umeona hicho kima chake ni kimo cha urefu kwenda chini
Acha tu!Aisee MUNGU ATUFUNGULIE MBINGU.
AMEEN
Desalination changamoto yake ni ile chumvi unayoichuja unaipeleka wapi, ukiidump ardhini unaharibu mazingira, ukiidump baharini with time unaongeza concentration ya chumvi baharini unadisturb ecosystem ya viumbe maji…Na pia ni expensive kurun!!..
Kwa hii CCM wacha atupige kwanza akili irudi sawaAisee MUNGU ATUFUNGULIE MBINGU.
AMEEN
Twendeni tukafanye dua ya kuombea mvuaAisee MUNGU ATUFUNGULIE MBINGU.
AMEEN
Utawala wa wakoloni wa Kizanzibari unasemaje kuhusu hilo? Au ndiyo slogans za 'mama ametuwezesha' na 'mitano tena' bado zinaendelea mwendo mdundo.Wakati waziri mwenye dhamana na maji yuko bize kucheza kadanse, hali ya mto Ruvu ndiyo hiyo.
View attachment 3260778
Ova
Waziri yuko busy kumuombea mama dua na kupiga picha miradi hewa ya maji...hiyo wizara yake inaupigaji mkubwa wa pesa kuliko wizara zoteWakati waziri mwenye dhamana na maji yuko bize kucheza kadanse, hali ya mto Ruvu ndiyo hiyo.
View attachment 3260778
Ova
Hilo tope ndiyo maji! Hata hivyo hayana umuhimu sana kuliko chawa akina Masanja wanaolipwa kwa kujifanya wendawazimu.Wakati waziri mwenye dhamana na maji yuko bize kucheza kadanse, hali ya mto Ruvu ndiyo hiyo.
View attachment 3260778
Ova
Mkoa wa Mbeya una maji mengi sana sasa hivi ndio wanataka kuchukua maji mto kiwira wakati Mto Songwe maji yanapotea tu bure.Mbeya kwenyewe maji bado yanatoka kwa mgao
Danida walifanya kazi kubwa kusambaza maji Mkoa wa Mbeya na wilaya zake sema tushadumaa tunataka Danida iliyofanya kazi miaka ya 1975 mpaka miaka ya karibuni warudi tena kutujengea matanki na kusambaza mabomba ni kama tumedumaa fulani hivi..Miaka ile mbeya wale DANIDA walipokuwa wanafanya mradi ule jamaa walikuwa wanafanya kwa uweledi mkubwa mpk wakafanikisha zoezi lile
Maana maji yanakusanywa sehemu mbali kutoka kwenye vyanzo na wanayaingiza kwenye matank makubwa
Ova
Atupige hadi tuamue ikataa CCMTwendeni tukafanye dua ya kuombea mvua
Mto Songwe Tanzania na Malawi wanajenga bwawa la kuzalisha umeme.Mkoa wa Mbeya una maji mengi sana sasa hivi ndio wanataka kuchukua maji mto kiwira wakati Mto Songwe maji yanapotea tu bure.
Ukataji wa misitu kwaajili ya mkaa umekithiri, watu wa misitu wakipiga kelele wanasiasa wanasema wasiwasumbue wapiga kuraWakati waziri mwenye dhamana na maji yuko bize kucheza kadanse, hali ya mto Ruvu ndiyo hiyo.
View attachment 3260778
Ova