milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Wakati waziri mwenye dhamana na maji yuko bize kucheza kadanse, hali ya mto Ruvu ndiyo hiyo.
View attachment 3260778
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati waziri mwenye dhamana na maji yuko bize kucheza kadanse, hali ya mto Ruvu ndiyo hiyo.
View attachment 3260778
Ova
Wao uarabuni wanaweza vipi?Desalination changamoto yake ni ile chumvi unayoichuja unaipeleka wapi, ukiidump ardhini unaharibu mazingira, ukiidump baharini with time unaongeza concentration ya chumvi baharini unadisturb ecosystem ya viumbe maji…Na pia ni expensive kurun!!..
Kule Isyesye pana mfereji unatoa maji toka Jan mpaka Desemba hii nimeona pia huko maeneo ya Tukuyu maji tunayo mengi sana sio wa kulalamika ni vile tumelala.Mto Songwe Tanzania na Malawi wanajenga bwawa la kuzalisha umeme.
Wao uarabuni wanaweza vipi?
Chumvi na Impurities zinazotokana na desalination huwa zinarudishwa baharini kwa ile process ya diffusers.
Hii process huhakikisha chumvi inayo rudishwa inachanganyika na maji kwa haraka na hivyo kutoadhiri mazingira ya baharini (hivyo hai disturb Ecosystem). Imekuwa ikifanyika hivyo kwa hizo Nchi na kwa ufanisi.
Ni kweli kuchuja maji ni gharama ukilinganisha na kutega maji ya mto lakini watu wakikosa maji na kuishia kwenye madimbwi wanaweza kuugua matumbo na magonjwa ya ngozi ambapo kuwatibu ni gharama pia.
Hata hivyo, hii inaweza kuwa mbadala kama tutakuwa tumekosa vyanzo vingine vya maji
Ukifuatilia vizuri Nchi zinazofanya desalination still zipo kwenye trials, na wanaona sio sustainable with time, dissadvantages ni nyng zaidiChumvi na Impurities zinazotokana na desalination huwa zinarudishwa baharini kwa ile process ya diffusers.
Hii process huhakikisha chumvi inayo rudishwa inachanganyika na maji kwa haraka na hivyo kutoadhiri mazingira ya baharini (hivyo hai disturb Ecosystem). Imekuwa ikifanyika hivyo kwa hizo Nchi na kwa ufanisi.
Ni kweli kuchuja maji ni gharama ukilinganisha na kutega maji ya mto lakini watu wakikosa maji na kuishia kwenye madimbwi wanaweza kuugua matumbo na magonjwa ya ngozi ambapo kuwatibu ni gharama pia.
Hata hivyo, hii inaweza kuwa mbadala kama tutakuwa tumekosa vyanzo vingine vya maji
Saudia,Dubai na Iran maji wanatoa wapi?Chumvi na Impurities zinazotokana na desalination huwa zinarudishwa baharini kwa ile process ya diffusers.
Hii process huhakikisha chumvi inayo rudishwa inachanganyika na maji kwa haraka na hivyo kutoadhiri mazingira ya baharini (hivyo hai disturb Ecosystem). Imekuwa ikifanyika hivyo kwa hizo Nchi na kwa ufanisi.
Ni kweli kuchuja maji ni gharama ukilinganisha na kutega maji ya mto lakini watu wakikosa maji na kuishia kwenye madimbwi wanaweza kuugua matumbo na magonjwa ya ngozi ambapo kuwatibu ni gharama pia.
Hata hivyo, hii inaweza kuwa mbadala kama tutakuwa tumekosa vyanzo vingine vya maji
Bagamoyo yenyewe inashida ya Maji kweli pressure ni ndogo, ufisadi ni mkubwaMitambo ya visima vya maji bagamoyo kujazilizia maji ya ruvu nadhani ishawashwaa