Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Kwani yeye sio Mtu?Nmeshangaa sana kumuona Mkuu wa Makoa wa Dar Mh Amos Makalla akicheza sebene leo baada ya mahojiano
View attachment 1909176
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye sio Mtu?Nmeshangaa sana kumuona Mkuu wa Makoa wa Dar Mh Amos Makalla akicheza sebene leo baada ya mahojiano
View attachment 1909176
Hakuna kujikinga na Covid hapoNmeshangaa sana kumuona Mkuu wa Makoa wa Dar Mh Amos Makalla akicheza sebene leo baada ya mahojiano
View attachment 1909176
Yaeda Chini sikuoni Preta umepotelea wapi jamani long time Karibu tena...wee nae.......sasa kilichokushangaza ni nini......? kwani yeye sio binadamu mpaka asiruhusiwe kufurahi........?☹️
Sikutegemea..maana ni saa chache tu zimepita
Watu hawajui tu stress za uongozi
Ila RC alikuwa mtu wa Sebene sana tangu akiwa IFM
Nipo sana tu........nimehamia Tumatu siku hizi network inasumbua.........Yaeda Chini sikuoni Preta umepotelea wapi jamani long time Karibu tena...
Asante sana Preta ubarikiwe....Nipo sana tu........nimehamia Tumatu siku hizi network inasumbua.........
nimefurahi kukusoma pia........😀
Nmeshangaa sana kumuona Mkuu wa Makoa wa Dar Mh Amos Makalla akicheza sebene leo baada ya mahojiano
View attachment 1909176
Wachaga hamjui kucheza isije ikawa sababu ya watu wengine wasicheze.Nmeshangaa sana kumuona Mkuu wa Makoa wa Dar Mh Amos Makalla akicheza sebene leo baada ya mahojiano
View attachment 1909176
Kuwa mkuu wa mkoa ndio hata kucheza muziki huruhusiwi? ungesikiliza na redio sasa ukamsikia alivyotafsiri wimbo wa kilingalaNmeshangaa sana kumuona Mkuu wa Makoa wa Dar Mh Amos Makalla akicheza sebene leo baada ya mahojiano
View attachment 1909176
Twist hiyo, then RC naye anastarehe zake. .....kuwa na kiongozi serious kila muda ameng'ata meno nalo ni tatizoNmeshangaa sana kumuona Mkuu wa Makoa wa Dar Mh Amos Makalla akicheza sebene leo baada ya mahojiano
View attachment 1909176
Muwe mnatumia akili na siyo ubishi wa tu. Wanasiasa wa Tanzania hawafanyi kazi, wamebaki kuzurura na kupiga madomo kaya kila sehemu. Wewe ulikuwa umepotea siku nyingi hapa JF nikadhani akili zimebadilika kumbe bado uko vile vile. Mama Arusha by night vipi wewe? Bado unaendelea na ile kazi yako?wee nae.......sasa kilichokushangaza ni nini......? kwani yeye sio binadamu mpaka asiruhusiwe kufurahi........?☹️