Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahangaika sana wewe.
sawa ladyboy wewe pekee ndiyo unaelewaUnahangaika sana wewe.
Huna uwezo wa kuelewa alichosimamia Nyerere, mbali ya kuelewa maana ya alichokisema.
Unaanzisha mada ambazo huna uwezo nazo, na mara nyingi ni kama unajivisha joho tu lisilokuenea vyema.sawa ladyboy wewe pekee ndiyo unaelewa
Unaweza kujiiita unavyotaka lakini nyerere alikuwa anasema kikubwa ni umefanya nini cha kusaidia jamii na elimu yako. Unaweza kuwa na vyeti kibao vya research lakini ukawa mlevi tu na hausaidii kitu je kwa jamii unataka wakuone wa muhimu zaidi? ni ushamba tuKwahiyo unataka kusema Nisojiite Eng.Dr.CPA,Advocate,CISP,Architect,Juma ngogolo???🥹🥹[emoji23][emoji851]
Nimewnza na Huo Utambulisho kwanza!