Spika ndio mtumishi wa Serikali,Mbunge ni mtumishi wa serikali??
Ignorance is blissSpika ndio mtumishi wa Serikali,
Aisee..
Hii ni Nyumba ya Serikali, Makazi ya Spika, Iko dodoma. Hata baadhi ya watagulizi wake waliishi Hapo.
🤣🤣huyo dogo mwenye tai nyekundu ni mkuda proo
Alafu utasikia nae anajiita mtoto wa maskini! Au nae anasema "sisi wanyonge"
Watanzania kujanjaruka sio Leo Wala kesho maana wanachoteka kirahisi sana