Video: Nyumba ya Tulia Ackson

Video: Nyumba ya Tulia Ackson

IMG-20230504-WA0008.jpg
IMG-20230503-WA0032.jpg
 
Alafu utasikia nae anajiita mtoto wa maskini! Au nae anasema "sisi wanyonge"

Watanzania kujanjaruka sio Leo Wala kesho maana wanachoteka kirahisi sana

If You Are Born Poor It’s Not Your Mistake, But If You Die Poor It’s Your Mistake.​


Kuwa mtoto wa maskini hakumfanyie awe maskini, pambana na hali yako acha makasiriko.
 
Tulia ni Dr wa kusomea kabisa. Kafanya kazi UD kama Professor kabla ya kwenda bungeni. Kawa mbunge wa kuteuliwa, mbunge wa kugombea na sasa ni Spika. Mme wake ni Director wa taasisi fulani. Nini cha ajabu hapo kumiliko hiyo nyumba? Mnataka mtu afanye kazi afu aishi kwenye nyumba ya nyasi?
 
mwamba hako ni kahekalu kadogo sana kwa mwanasiasa,
hususani member of paliamenti tena mweshimiwa sabufa kama huamini nenda kwa sieijii
kama PROF Assad akuambie matumizi ya mzee Ndugai kwenda chek up mambele one trip unajenga hiyo na chenji unanunulia range new model na yeye alienda trip 10 per year this is Afrika blood.
 
Back
Top Bottom