Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Mbona napita barabarani nakuta mabango mengi yamechanwa tu? Mimi binafsi mtu yoyote akiweka tangazo au bango la kisiasa kwenye fence yangu nitachana. Na nilishachana mengi tu ya Chadema, cuf na CCM 2015. Kweli hizi mbinu mbona za hovyo sana? Hebu tunzeni amani tuliyoijenga kwa miaka mingi. Siasa zisituletee kuvurugana na uadui.