Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo ni atazirudishaje hela za Mama Abduli?Kwenye maisha, ni vema na ni vizuri sana kwa mtu mwenye akili timamu, aishi kwa kusoma nyakati na majira
Nashangaa mchaga mwenzangu ameshindwa kwenye hili somo
Ndio maana anapambana sanaTatizo ni atazirudishaje hela za Mama Abduli?
inawezekana la lisu ni machawa wasiokuwa na impactKuna tofauti sana ukiangalia shangwe la Lissu na la Mbowe.Lile la Lissu unaona Kabisa halina kuigiza nilahalisi na linasisimua hata ukiangalia.
Kama Lowassa ccm?Mimi naona Mbowe atakuja washangaza watu kwa kujitoa dakika za mwisho... au kuahirishwa uchaguzi kuwa kuna viashiria vya uvunjfu wa amani
Yule zero brain hana hata D mbili, angalau angezitumia kung'amua Mambo......Katawala miaka 20 chama cha babamkwe wake .. Ana maamuzi ya mwisho kinamuingizia billions of money halafu amuachie Lissu... We kuwezaaa.... The true judge is time... We shall see...
Ikishindikana na kuonekana kuna dalili za janja janja kura zipigwe hadharani,wa lisu kulia wa mbowe kushoto kazi iwe rahisi,Mbowe hata wakiungana na Samia, hawamuwezi Lissu. Labda kwa goli la mkono
Kwani Mbowe na chama nani mwenye nguvu,Mimi naona Mbowe atakuja washangaza watu kwa kujitoa dakika za mwisho... au kuahirishwa uchaguzi kuwa kuna viashiria vya uvunjfu wa amani
Kwanini mnataka kumsababishia presha Mwenyekiti?===
Katika hali isiyo ya kawaida Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA ) Taifa wameshindwa kujizuia na kuonesha hisia zao kwa Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa Mhe Tundu Lissu alipokuwa akiingia Ukumbini.
Hakika LISSU Will Fix CHADEMA
View attachment 3203572
Sijui mbowe bado anajiamini kwa lipi!
Sahihi KabisaNyakati ziko upande wake.