Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ngoja nikae kimyaSasa haji ana pesa gani? Nweiii usiseme nna wivu au nitafute pesa.
Sio vipaumbele vyangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikae kimyaSasa haji ana pesa gani? Nweiii usiseme nna wivu au nitafute pesa.
Sio vipaumbele vyangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni Swala la mda tu watapita nae shwaaa azime tenaUtoto bana, wenye nia ya kukomesha watamwibia abaki analia hadi kuzimia[emoji3]
Nadhani Manara anaumwa na hivi unavyozidi kumpost ndio mnazidi kumpoteza mjueHaji Manara aendelea kuneemeka na penzi la Mke wake Zailyssa, kupitia ukurasa wake wa Insta Haji Manara ame-share video inayomuonyesha akifanyiwa usafi wa miguu na Mke wake Zailyssa.
Ameandika Manara, "Kupendwa Raha nyie, Siku mbili tu nimeongezeka kilo kumi dadadeki, Sijui nilichelewa wapi kumjua huyu Zai!! Imagine leo nimekandwa hadi na hiliki ndani ya Maji [emoji2957][emoji2957]
Zailyssa [emoji3590] Watu wa Tanga mna sifa sana nyie"
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2884391
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
😂😂😂😂😂
Wandewa wanafanya timing tuu.. Mke sio bidhaa afanyiwe promotion mitandaoniWapunguze kupostiana mitandaoni, watu kibao tu wanafanyiwa hayo na wake zao tena na zaidi ila hamna haja ya kupost kila kitu.
Ankal tuanzishie uzi wa mafoto ila Mademu wa Mr Miongozo wote marufuku kuchangia uzi mpaka Miongozo akae na wake zake wamalize migogoro yao ya kifamilia 😜Wandewa wanafanya timing tuu.. Mke sio bidhaa afanyiwe promotion mitandaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kama haya ni tunayoyaona aiseee🙌🙌🙌zai sita kwa sita atakua mtu na nusuZay anajua mwenyewe kaokota mzungu 😂😂😂
Vitu vingine....... kuna umri ukipita utaishia kuchekesha watu. Kwani akikaa kimya anapungukiwa nini........ ila kwa jinsi tumjuavyo hawezi kukaa na mke kipindi kirefu.....Haji Manara aendelea kuneemeka na penzi la Mke wake Zailyssa, kupitia ukurasa wake wa Insta Haji Manara ame-share video inayomuonyesha akifanyiwa usafi wa miguu na Mke wake Zailyssa.
Ameandika Manara, "Kupendwa Raha nyie, Siku mbili tu nimeongezeka kilo kumi dadadeki, Sijui nilichelewa wapi kumjua huyu Zai!! Imagine leo nimekandwa hadi na hiliki ndani ya Maji 🤪🤪
Zailyssa ❤️ Watu wa Tanga mna sifa sana nyie"
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2884391
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Wapunguze kupostiana mitandaoni, watu kibao tu wanafanyiwa hayo na wake zao tena na zaidi ila hamna haja ya kupost kila kitu.
Tanga si unaisikia lakini kaka? Huko ndo mapenzi yalikozaliwa..!! Kushindia khanga moko sio shida zao 😂😂😂Ila kama haya ni tunayoyaona aiseee🙌🙌🙌zai sita kwa sita atakua mtu na nusu
Hebu sema neno bhana, [emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikae kimya
Yaan [emoji23][emoji23][emoji23]Atalia soon haji na anavyojua kuumia utasikia”nimekupa kila kitu zai nilikukuta umechokaa”
[emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu em ongeza sauti, eti nn?Zay anajua mwenyewe kaokota mzungu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu kwann lakini??Ankal tuanzishie uzi wa mafoto ila Mademu wa Mr Miongozo wote marufuku kuchangia uzi mpaka Miongozo akae na wake zake wamalize migogoro yao ya kifamilia [emoji12]
Nimehuzunika sana kurudi nimekuta uzi umefungiwa [emoji57]
Mseme nshakuwa chawaHebu sema neno bhana, [emoji23][emoji23][emoji23]