Video: Penzi la Kitanga lamnenepesha Haji Manara

Nadhani Manara anaumwa na hivi unavyozidi kumpost ndio mnazidi kumpoteza mjue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wandewa wanafanya timing tuu.. Mke sio bidhaa afanyiwe promotion mitandaoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Ankal tuanzishie uzi wa mafoto ila Mademu wa Mr Miongozo wote marufuku kuchangia uzi mpaka Miongozo akae na wake zake wamalize migogoro yao ya kifamilia 😜

Nimehuzunika sana kurudi nimekuta uzi umefungiwa 😏
 
Vitu vingine....... kuna umri ukipita utaishia kuchekesha watu. Kwani akikaa kimya anapungukiwa nini........ ila kwa jinsi tumjuavyo hawezi kukaa na mke kipindi kirefu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…