Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Nzuri tu mkuu, habari ya huko ulipo?.
Bado kichwa ni kichafu? Hujakioshaga tu[emoji3][emoji3]
Huyo haaminiki kesho tu utasikia anaonja penzi la KigomaNini maoni yako?
Hahaa haya bana ntakuja kukisafisha kiwe kisafi kama theluji😀😀Nashukuru Mungu Ni Mwema Kabisa.
Daaah! Toka Ulivyoniahidi Utakuja Nisaidia Kukiosha Hadi Leo Bado Kipo Vile Vile.
Ila Unakumbuka Ahadi Yako.
Sijawahi kuonaKwani alivyokuwa na waliomuacha hakuna ana post
Mshamba huyo mtu mkubwa kama chiziWapunguze kupostiana mitandaoni, watu kibao tu wanafanyiwa hayo na wake zao tena na zaidi ila hamna haja ya kupost kila kitu.
Kama unazungumzia kuoshwa miguu sawa, Manama ni kwaida yake sio Leo kuposti ishu za mahusiano yake so nahitimisha halengi kumuonesha X wake.Sijawahi kuona
Anaboa sasa, hachelewi kutukana matusi akiachwa😀Mshamba huyo mtu mkubwa kama chizi
Labda ni hivyoKama unazungumzia kuoshwa miguu sawa, Manama ni kwaida yake sio Leo kuposti ishu za mahusiano yake so nahitimisha halengi kumuonesha X wake.
Hahaa haya bana ntakuja kukisafisha kiwe kisafi kama theluji[emoji3][emoji3]
Na uache kujiita kichwa kichafu 😀Hapo Ndipo Nakupenda (ga) Unafanya Moyo Ububujike Mahaba.[emoji23]
Nakusubiri Mama.
Nasikia ukienda Tanga hutamani kutoka ni wanajua afu wanajuana tena
Hahaha, ila kuna wanawake majasiri jmn. Kuna vitu nikiimajin simalizi naishia njiani. [emoji1751][emoji1751][emoji1751]Zay anajua mwenyewe kaokota mzungu [emoji23][emoji23][emoji23]
Na uache kujiita kichwa kichafu [emoji3]
Mbona naendaga sana na mara zote nachomoka... Hahaha...Nasikia ukienda Tanga hutamani kutoka ni wanajua afu wanajuana tena
Inapendeza sana acha Manara ajilie vitamu
Wee utakua umeshindikana smart. Nakugawaaaaa🤣🤠🤠😁😁!Mbona naendaga sana na mara zote nachomoka... Hahaha...