Kiufupi kaimba pumba,utopolo,ushuzi na ushubwada tu!!!Wakuu,
Nilikuwa napitia pitia huko mitandaoni nimeona performance ya Marioo kwenye tuzo za Trace imepandisha sukari Watanzania.
Wengi wamemsifa Bien kuwa ameimba vizuri lakini huyu Marioo amempigwa sana mawe.
Binafsi nimeiangalia sijaona kitu chochote kibaya kwenye performance hiii.
Au aliimba off key?
View attachment 3251853
Sio shabiki wa Kiba ila kususia haya maonesho alinifurahisha..licha ya ukweli kwamba performance yake ingekuwa mbaya kuliko zote😂😂
🤣🤣🤣Sio shabiki wa Kiba ila kususia haya maonesho alinifurahisha..licha ya ukweli kwamba performance yake ingekuwa mbaya kuliko zote😂😂
Mechi za mchangani hiziWakuu,
Nilikuwa napitia pitia huko mitandaoni nimeona performance ya Marioo kwenye tuzo za Trace imepandisha sukari Watanzania.
Wengi wamemsifa Bien kuwa ameimba vizuri lakini huyu Marioo amempigwa sana mawe.
Binafsi nimeiangalia sijaona kitu chochote kibaya kwenye performance hiii.
Au aliimba off key?
View attachment 3251853
Kiba ana jua Sana kwenye live band, chuki yako isi mharibie.Sio shabiki wa Kiba ila kususia haya maonesho alinifurahisha..licha ya ukweli kwamba performance yake ingekuwa mbaya kuliko zote😂😂
Nimecheka kiehu mie😆😁🤣🤣Sema yeaaaaaah, wu wuuuuh, siwasikiii, tunaimba woteee, mikono juuuuuuuuuu, nawapenda sana, haya kushoto kulia, yes yes yes...
UTAPELI MTUPU.
Kama mleta mada hakuyaona haya bas macho yake yana mategeSema yeaaaaaah, wu wuuuuh, siwasikiii, tunaimba woteee, mikono juuuuuuuuuu, nawapenda sana, haya kushoto kulia, yes yes yes...
UTAPELI MTUPU.
HahahaSema yeaaaaaah, wu wuuuuh, siwasikiii, tunaimba woteee, mikono juuuuuuuuuu, nawapenda sana, haya kushoto kulia, yes yes yes...
UTAPELI MTUPU.
Kinachombeba anatoa nyimbo zinazopendwa na ndio watanzania wanachoangaliaTuna wasanii fake wamejaa kwenye main stream ila kiuhalisia uwezo wao ni mdogo sana na mmoja wao ni huyo tecno feki wa bongo bwana marioo,afu tunaanza kulalamika eti kwa nini muziki wetu haufiki mbali,radio presenter,ma dj uchwara na mameneja njaa wa bongo ndio wametufikisha hapa wanahonga sana pesa ili msanii awe mkubwa lakini kiuhalisia ni ushuzi mtupu.kuna madogo wapo huko underground wana uwezo mkubwa kuliko hao tunaowaita A-list wa bongo