Khadija Mtalame
Senior Member
- Jul 14, 2021
- 185
- 715
polisi wa Tanzania wamegeuzwa kuwa UVCCM.Hapa ni Eneo la Mwanga Urusi Kigoma mjini. Asubuhi hii polisi waliamua kuanza kazi kwa kuvunja JIWE la msingi la CHADEMA! Uadui huu hauna tija! Tanzania ni nchi inayotambua mfumo wa vyama vingi! Vyombo vya Dola ni vya wananchi siyo ya chama tawala CCM!
Unaandika Kama unatekenywa na mmeoHapa ni Eneo la Mwanga Urusi Kigoma mjini. Asubuhi hii polisi waliamua kuanza kazi kwa kuvunja JIWE la msingi la CHADEMA! Uadui huu hauna tija! Tanzania ni nchi inayotambua mfumo wa vyama vingi! Vyombo vya Dola ni vya wananchi siyo ya chama tawala CCM!
Unataka aandikeje wewe Mrs Jiwe? Takataka namba moja weweUnaandika Kama unatekenywa na mmeo
USSR
CCM huwa hawafi mkuu,ndo maana wapo hivyo walivyo....na Magufuli hajafa,yupo Chato anakula Sato tuKila mtu atakufa siku moja
Hio ni level ya mwisho kabisa ya serikali ya CCM. Yaani bila dola mambo hayaendi kabisa. Ningependa kama wangekuwa wanabishana kwa hoja, na si kwa mabavuHawa Police imefikia hatua CHOCHOTE watakachoamiwa na CCM wanafanya...
hawa ni wa kutumikishwa tuHawa Police imefikia hatua CHOCHOTE watakachoamiwa na CCM wanafanya...
Mke wa NNE wa JIWE katika ubora wako...hahahahahUnaandika Kama unatekenywa na mmeo
USSR
Hizi ndizo dalili za anguko la CCM.Hapa ni Eneo la Mwanga Urusi Kigoma mjini. Asubuhi hii Polisi waliamua kuanza kazi kwa kuvunja JIWE la msingi la CHADEMA! Uadui huu hauna tija! Tanzania ni nchi inayotambua mfumo wa vyama vingi! Vyombo vya Dola ni vya wananchi siyo ya chama tawala CCM.
View attachment 1882661
Utabiri huu kweli unatimia.