Hahaha, li chama la magaidi, naona mlishangilia sana kifo cha Dkt JPM mkaachwa ili mjianike zaidi juu ya unafiki wenu, na hakika lichama lenu lililokufa halina intelijensia kabisa, yaani kila aliyeshangilia kifo cha JPM hatobaki salama aidha ktk kizazi hiki au kijacho maana huyo atahesabiwa ni mkosa na kila mtawala atakayekuja hilo ndilo faili la kwanza (teketeza kizazi cha wanafiki wa nchi ili nchi isonge mbele). Tanzania tunahitaji upinzani chanya, upinzani wa kuoneana huruma, upinzani unaotoa kipawa mbele cha maendeleo ya taifa, siyo eti unashangilia na kudharau waasisi wa taifa hili then ubaki salama????. Mjifunze, kama hamjabadilika msitegemee kuonewa huruma. Na Mama alipoonza alitumia techiniki ya kimataifa, akaona hebu hawa mbumbu majinga majinga nijaribu kutekeleza kidogo yale yanaypogia kelele (ikumbukwe JPM alifanya hivyo hivyo––kuzuia ufisadi, uzembe, rushwa, uwajibikaji n.k) vitu ambavyo lilikuwa takwa lao kuu, hahaha, JPM aliishia kutukanwa, kubezwa, na mpaka wakabeza na kushadadia kifo chake, na kwa Mama nako imetokea hivyo hivyo, yaani nyie wapinzani mnamdharau kwa sababu eti ni rais mwanamke, eti mdude anasema atamnyoa Mama yetu, yaani unajitamba ulihusika na kifo cha JPM kwa kusema eti ulimnyoa kwa wembe na Mama naye utatumia wembe huo huo (yaani as if kummaliza) halafu mwenyekiti mbowe anaenda huko mbeya kushangilia kauli za kijinga, hahahah, vuneni mlichopanda na bado, mpaka kisiki king'olewe ili tuwe na upinzani mpya wenye tija.