Uchaguzi 2020 Video: Pongezi nyingi kwa aliyewaza kutumia wimbo wa Bob Marley wa "One Love" kwenye kampeni za Lissu

Uchaguzi 2020 Video: Pongezi nyingi kwa aliyewaza kutumia wimbo wa Bob Marley wa "One Love" kwenye kampeni za Lissu

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535

Kama inavyoonekana kwenye video hapo, wimbo huu umekuwa ukileta hamasa kubwa sana kwa wananchi pale unapopigwa kwenye kampeni za mgombe Rais kupitia CHADEMA Mh. Tundu A. Lissu.

Wimbo huu unatuma ujumbe wa muungano na upendo katika kipindi ambacho tunapitia changamoto kubwa ya siasa za chuki na uadui. Tetesi nilizoambiwa wimbo huu kwa sasa ni marufuku kupigwa katika vyombo fulani vya redio ili kutoonyesha kuunga mkono upande fulani mpaka kipindi hiki cha uchaguzi kitakapopita.

Nawakumbusha watanzania wote tukapige kura pamoja with "one love", tumchague kiongozi atakayetupa furaha na maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
 
Nyimbo za aina hiyo zinapendwa sana na wazee wa cha chuga.

Sasa sijui ndio tuseme mnatumia Sana weed??
 
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako.

FUNZO: Ukiwa mnufaika (beneficiary) wa mfumo wowote ule usitumie vibaya hiyo privilege kuwatukana/gandamiza/dharau/piga/onea wengine, Hakuna hali inayodumu milele.
 
Hivi chadema hakuna Msanii hata kama Zuchu tu.

aimbe lissu haii..haiii...haaiii, CCM wateleke kwanza.

Aisee...CHADEMA iko very disorganized.
 
..wanapiga pia wimbo wa Bob Marley, " survival."

..Ni wimbo unaoendana na maisha ya harakati ya Tundu Lissu.


Hizo nyimbo zinamaana sana kuliko hizo wanazopiga kwenye majukwaa na kina Diamond, Ali Kiba na wenzake...kina Bob Marley walitunga melody kwanza zenye hamasa na kuweka maneno yenye hamasa zaidi, sasa wasanii wetu anachukua wimbo wa mapenzi anabadilisha anaweka CCM, Magufuli basi anaona amemaliza kazi.
 
View attachment 1600320
Kama inavyoonekana kwenye video hapo, wimbo huu umekuwa ukileta hamasa kubwa sana kwa wananchi pale unapopigwa kwenye kampeni za mgombe Rais kupitia CHADEMA Mh. Tundu A. Lissu.

Wimbo huu unatuma ujumbe wa muungano na upendo katika kipindi ambacho tunapitia changamoto kubwa ya siasa za chuki na uadui. Tetesi nilizoambiwa wimbo huu kwa sasa ni marufuku kupigwa katika vyombo fulani vya redio ili kutoonyesha kuunga mkono upande fulani mpaka kipindi hiki cha uchaguzi kitakapopita.

Nawakumbusha watanzania wote tukapige kura pamoja with "one love", tumchague kiongozi atakayetupa furaha na maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Of course, selection ya wimbo wenyewe ni nzuri kwa kuwa umelandana na slogan ya CDM ya #No hate.
#Ni yeye 2020✌✌✌
 
View attachment 1600320
Kama inavyoonekana kwenye video hapo, wimbo huu umekuwa ukileta hamasa kubwa sana kwa wananchi pale unapopigwa kwenye kampeni za mgombe Rais kupitia CHADEMA Mh. Tundu A. Lissu.

Wimbo huu unatuma ujumbe wa muungano na upendo katika kipindi ambacho tunapitia changamoto kubwa ya siasa za chuki na uadui. Tetesi nilizoambiwa wimbo huu kwa sasa ni marufuku kupigwa katika vyombo fulani vya redio ili kutoonyesha kuunga mkono upande fulani mpaka kipindi hiki cha uchaguzi kitakapopita.

Nawakumbusha watanzania wote tukapige kura pamoja with "one love", tumchague kiongozi atakayetupa furaha na maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Mungu ibariki Chadema
 
View attachment 1600320
Kama inavyoonekana kwenye video hapo, wimbo huu umekuwa ukileta hamasa kubwa sana kwa wananchi pale unapopigwa kwenye kampeni za mgombe Rais kupitia CHADEMA Mh. Tundu A. Lissu.

Wimbo huu unatuma ujumbe wa muungano na upendo katika kipindi ambacho tunapitia changamoto kubwa ya siasa za chuki na uadui. Tetesi nilizoambiwa wimbo huu kwa sasa ni marufuku kupigwa katika vyombo fulani vya redio ili kutoonyesha kuunga mkono upande fulani mpaka kipindi hiki cha uchaguzi kitakapopita.

Nawakumbusha watanzania wote tukapige kura pamoja with "one love", tumchague kiongozi atakayetupa furaha na maendeleo kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
One love
 
Back
Top Bottom