Video Queens wa bongo na skendo za picha chafu!

Kwa kweli mimi ni ki la za kuelewa ni tatizo la kurithi utanisamehe kwa hilo, hivi kumbe hawa wanaokuwa video queen wanapata baraka za wazazi kwanza ?? Kwa hiyo mwanao hawezi kuwa video queen mpaka umruhusu ??


Kuna kazi binti yako akifanya iwe kwa ruksa au kwa kiburi hupaswi kushangaa akipiga picha uchi...

.filam..
muziki
na kadhalika........kwenye entertainment world wana msemo maarufu sana unasema
'sex always sells'
 
Huyo Amber lulu na chogo lake hata hapendezagi kuwa video queen.
 
Kuna kazi binti yako akifanya iwe kwa ruksa au kwa kiburi hupaswi kushangaa akipiga picha uchi...

.filam..
muziki
na kadhalika........kwenye entertainment world wana msemo maarufu sana unasema
'sex always sells'
Oh sawa sawa ,

Zamani kulikua na usemi maarufu sana 'Dunia imevaa sketi'

Kwa maoni yako haya sijui sasa hivi itakua imevaa nini


Hivi mtoto kuona uchi wa baba/mama au baba/mama kuona uchi wa mwanae sio laana ?

Hapa naongelea utamaduni wa Kiafrika
 
huyo tunda sio nilisikia kaukwaa ,,,na huyo gigy na amber wanajiuza sanaa ,,,,wapo kama .....na..mke wa mr green walivyokuwa wanajiuza
 
Wanawake hasa wasani ni bidhaa rahisi isiyo na lebo, hawana dhamani popote sio msibani sio kanisani, hawa ni wauzaji kama wauzaji wengine tofauti zao ni majina tu.
 
Pesa tulizokuwa tunawahonga, zinatumika kulipa kodi ya serikali.sikuhizi hakuna jana janja ya kukwepa kodi kama mwanzo.
 
aiseeeee huyo wa kwanza huna namba zake za simu?!
 
Asante kwa picha tam mkuu" mkono mmoja sio mbaya wakulalia
 
Usiwafollow na/au Jitoe kwenye social media kama zinakukera sana vinginevyo unazifurahia.
 
[emoji39]
 
Imevaa bikini
 
Usiwafollow na/au Jitoe kwenye social media kama zinakukera sana vinginevyo unazifurahia.
Mkuu sasa hiv uwafollow au usiwafollw picha zao utaziona tu maana watu wengi wamekuwa wanazishare hizo picha kwa page zao kuhusu kujitoa kwenye social media siwez maana ni sehem ya kupatia habari!
 
Wazazi wa hawa watoto kazi wanayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…