Video: Radi yapiga Jengo la Mekkah Clock Tower

Video: Radi yapiga Jengo la Mekkah Clock Tower

Imam Hussein kakasirishwa na Sunni wahabi kwa kuchezea tawfiq walizopewa kaamuua kutunisha misuli yake.

Kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali AS aendelee kupewa qauli thabeet
Yesu mnasema alibatizwa msalabani. mungu anabatizwa?
 
Hakuna sehemu imeandikwa kuwa ipo ndani ya Masjid Harram
Mji wa Makkah wote ni mtakatifu sio pale ipo saa tu lakini pale ndani ya Masjid ilipo Kaaba ni patakakifu zaidi. Hata Radi ipige ndani ya Kaaba kwani Radi ni ya nani ya kwenu au ya Mungu. Usifikirie Mungu akifanya kitu basi hakupendi, ungemuliza Nabii Ayoub. Sometimes Mungu anawatest watu kuona akili zao.
 
Nikikumbuka kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein alivyouwawa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania Uislam ninalia sana.

Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq/Tawfeek (the ability and opportunity to succeed) na tuna uhakika wa Jannah na Firdaus.

Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali AS the grandson of the prophet, the son of the prophet's cousin, the son of the daughter of the prophet and the Father of Imaam Ali peace be upon him.

View attachment 3080870
His storia huwa inasikitisha sana
 
Mji wa Makkah wote ni mtakatifu sio pale ipo saa tu lakini pale ndani ya Masjid ilipo Kaaba ni patakakifu zaidi. Hata Radi ipige ndani ya Kaaba kwani Radi ni ya nani ya kwenu au ya Mungu. Usifikirie Mungu akifanya kitu basi hakupendi, ungemuliza Nabii Ayoub. Sometimes Mungu anawatest watu kuona akili zao.
Agreed
 
Vichaa wengine noma sana. Hio saa nani katengeneza si mkristo.labda ndani kuna msalaba. Mungu akamua kupiga moto. Afu sioni reason ya dini, clock tower hilo ni pambo tena liko pembeni sio ndani ya Masjidi.
Unaogopa Msalaba wewe ni Dracula? muslim ina relate na mashetani Dracula wanaogopa kitunguu Swaum na Malaika wa Allah pia Wanaogopa pia Ni marufuku kunukia harufu ya Vitunguu msikitini kwani Malaika wa Allah wanashindwa kukaa msikitini hivi Malaika wananusa harufu enh
 
Mji wa Makkah wote ni mtakatifu sio pale ipo saa tu lakini pale ndani ya Masjid ilipo Kaaba ni patakakifu zaidi. Hata Radi ipige ndani ya Kaaba kwani Radi ni ya nani ya kwenu au ya Mungu. Usifikirie Mungu akifanya kitu basi hakupendi, ungemuliza Nabii Ayoub. Sometimes Mungu anawatest watu kuona akili zao.
Ushasema Mungu na sio Allah...
1724789011679.jpeg


Ni kweli ndani ya Kaaba yupo Allah kwenye Nyumba yake? Moon God nimeokoteza kwenye Internet kama wewe tunaenda na logic kama zako
1724789102881.jpeg
 
Hamna kitu hapo... ni kawaida... Nimekumbuka Hadith ya Mtume wa Waislam alisema Radi ni Malaika na Malaika na ana mkono ambao anapiga kwa amri ya Allah.. hahahaha.

Some Jews came to the Messenger of Allaah, sallallaahu 'alayhi wa sallam, and said, “Tell us what thunder is? Muhammad, sallallaahu 'alayhi wa sallam, replied, 'It is an angel from Allaah’s angels that is set over clouds and in whose hands is a Mikhraaq by which he drives clouds away, directing them where Allaah commands him.'”

Sasa pale Kaaba na kwenye kaburi la Mudy Radi zimepiga sana miaka yote hadi wakristo walipokuja na tech ya kuweka earth belt ndipo radi zikakoma mean Malaika wa Allah wakashindwa kulipua kaaba na Dome la Mudy
Mpaka karne hii bado unaamini hadithi kuwa radi ni malaika?
 
Mji wa Makkah wote ni mtakatifu sio pale ipo saa tu lakini pale ndani ya Masjid ilipo Kaaba ni patakakifu zaidi. Hata Radi ipige ndani ya Kaaba kwani Radi ni ya nani ya kwenu au ya Mungu. Usifikirie Mungu akifanya kitu basi hakupendi, ungemuliza Nabii Ayoub. Sometimes Mungu anawatest watu kuona akili zao.
Kwanini mungu anawajaribu watu? Nini kusudi la kujaribu?
 
TEna ninaefuata Quran na Sunnah.
MASHIA si katika waislamu, wameshakufurishwa muda mrefu hakuna kitenguzi cha uislamu ambacho mashia hawajakiingia na wanadhuoni wamekwishalithibitisha hilo.
Umekwisha jimilikisha uislam kama vile wewe ndie uliye uanzisha.

Hivi kwa nini extremists wengi kama sio wote na makundi yao ni Sunni ?
 
Hii ilikuwa mwaka jana kama sijakosea au mwaka huu mwanzoni , tena palitokea mvua mkubwa ambazo zilifpiga mpaka kuleta mafuriko kule Dubai .

Hata lile sanamu pale Brazil la yesu linapiga radi , hii ishu ipo kisayansi zaidi .
 
Imam Hussein kakasirishwa na Sunni wahabi kwa kuchezea tawfiq walizopewa kaamuua kutunisha misuli yake.

Kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali AS aendelee kupewa qauli thabeet
Unajitafutia laana bila sababu za msingi.

Kweli makafiri mshazoea shirki ndio maana inakuwa sio rahisi kutamka maneno ya kufuru , hapo ni sawa umempa Hussein (Allaah amridhie) uungu . Kivipi yeye ameshakufa aweze kuleta maafa wakati ni mwanadamu tu ?
 
Nikikumbuka kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein alivyouwawa kikatili kuutetea, kuulinda na kuupigania Uislam ninalia sana.

Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq/Tawfeek (the ability and opportunity to succeed) na tuna uhakika wa Jannah na Firdaus.

Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali AS the grandson of the prophet, the son of the prophet's cousin, the son of the daughter of the prophet and the Father of Imaam Ali peace be upon him.

View attachment 3080870
Makafiri hamuoni taabu kutamka maneno ya kufuru , kwa vile unamuabudu Yesu na kumpa hadhi ya uungu ndio maana haiwi shida kwako kuendeleza ukafiri huo kwa wengine kuawapa sifa za uungu.
 
Back
Top Bottom