Ushasema Mungu na sio Allah...
View attachment 3080978
Ni kweli ndani ya Kaaba yupo Allah kwenye Nyumba yake? Moon God nimeokoteza kwenye Internet kama wewe tunaenda na logic kama zako
View attachment 3080980
Kwanza wewe sijui huwa unatoa wapi hizi fake news au story 😄
Pole sana kwa tarifa yako kwenye Kaaba hakuna masanamu. Hapo sio kanisani. Tukiweka hilo sanamu itageuka Kaaba kuwa kanisa, tutakuwa tunabudu sanamu sio Mungu. Sie akili zetu sio za kishetani shetani kama za wafuasi wa Paulo.
Pili hakuna Muislam anaweza kuweka sanamu kama hilo, sababu Qur'an ilisha sema Mungu ni mmoja na hafanani na kitu chochote kile wala hazai wala hazaliwi.
And there is none comparable to Him”[Qur’an 112:4]
And keep in mind we do not know anything more about Allah than what He described Himself in the Qur’an. We do not attribute to Him what He Himself did not say in the Qur’an
Aliye kuambia Mungu ana mikono miwili yote kulia nani? Kwanza Mungu hafananishwi na kitu, anaposema yeye katengenza dunia kwa mikona, hapo ndio watu wakaja na fikra ana mikono miwili mmoja kulia na mmoja kushota, lakini wanasema mikono yake yote ni ✅️ Right. Wanakusaidia haikosei. Umefahama mana yake hapo sio ule ujinga mkakimbilia kutengeneza sanam eti lina mikono miwili sehemu moja 😄
Surah Amran 24
And all married women (are forbidden unto you) save those (captives) whom your right hands possess. It is a decree of Allah for you. Lawful unto you are all beyond those mentioned, so that ye seek them with your wealth in honest wedlock, not debauchery.
Mana ya your right hands possess ina kusudia sheria inayo waruhusu. The word 'right hands' here refers to women taken as prisoners of war. It is by no means an implication of concubinage, for this is totally prohibited in Islam. Nor does it refer to purchasing female slaves from market to be used to satisfy sexual urge.