Zipo Zimejaa from Muslim source. i know Muslim fake news mnatumia kwenye manufaa na kwenye hali mbaya mnakataa na kuita Dhaifu hadith.. Mulsim based on lies and without lies Islam is will die.
Source hizo labda za kutokea makanisani, mkasema Bukhari na Sahihi Al Muslim π
Uzuri wa Uislam kulikuwa na masahaba walio kuwa wakimsikia Mtume alicho ongea, ndio mana kuna hadithi nyingi walikuwa wanasema hawajawahi hata siku moja kuziongea Mtume. Sa kwanini kuna hadithi zinaitwa Dhaifu, hizo sababu hakuna dalili kuwa Mtume kaziongea.
Wewe unataka kutulazimisha tuzikubali unadhani sisi wafuasi wa Paul, tunakubali kila kitu. Mafunzo ya Yesu hayaendani kabisa na Paulo na bado mnamuita Mtume π Sijui nani aliye mpa utume pale kaota yuko chini ya mti kwenye njia panda ya Jerusalem to Damascus
Anyway sifahamu ila kihistoria kulikuwa na full masanamu Maquraish Sanamu lao la Allah ndio walishinda ugomvi wa kushikilia Kaaba. Nilishakupa Elmu kuhusu aliyejenga haiwezekani ni Adam due Adam ni mkubwa sana kama floor 7 na kaaba ni kaduchu. so its fabricated Story and Kihistoria Mecca haina historic records zezote kwani palikuwa jangwa no water hadi story zen kuwa Ibrahim na Zamzam historic site zote zinasema Bakka mji tofauti now haukaliwi ndio was business hub ya enzi za mtume wenu.
Sa kama hufahamu nani anataka kubishana na mjinga asie fahamu π Nani alikuwambia kulikuwa hakuna masanamu, pia wakati wa Nabii Ibrahim yalikuwepo? Baba yake Nabii Ibrahim alikuwa ana abudu masanamu, sa ajabu iko wapi wale Maqureshi wakiabudu masanamu, na kuyaita Allah. Sababu neno Allah kwa kiarabu ni Mungu, mfano we umlazimishe mzungu aseme Mungu si God, sababu wengine wanabudu gods π
Kanisa ni kutanyiko sio Jengo Chukua elimu nyingine kwangu.
Sa kanisani kumbe ni sehemu sio ya kuabudu, hahaha kumbe hamna sehemu ya kuabudu. Pale ni kutoa story tu na kutongozana. Safi sana, si niliwambia nyie hamna dini ni waimba kwaya tu.
View attachment 3085385 Shetani yupo Mecca na Allah yupo Mecca hivi huwa mnamtupia Mawe Shetan aliyesilimishwa na Mtume wenu akawa Muislam why Mnampiga Ndugu yenu katika uislam.
Ku kiss the Stone and ku touch Yemen's Corner hivi mnaelewa mana yake au nikupe Elimu..
Kaaba kuna Manasanu yasemekana yalifanya mapenzi hapo Marwa and Safa na mnayafanyia ibada za kishetani
View attachment 3085388 Arab walisema Marwa and Safa ni Pagan worship na ni Sin, na nyie bado mnaendeleza - Mudy kuwaridhisha wapagani akaruhusu ibada ya kishetani.. Shrine of Quraish akajifanya Allah ameruhusu. kufanya ibada ya Masanamu Marwa na Safa hahahaha
Quran 2:158 -
Hakika vilima vya Safaa na Marwa ni katika alama za Mwenyezi Mungu. Basi anaye hiji kwenye Nyumba hiyo au akafanya Umra, si kosa kwake kuvizunguka. Na anaye jitendea mwenyewe kheri basi bila ya shaka Mwenyezi Mungu ni Mwenye shukrani na Mjuzi.
β Ali Muhsin Al-Barwani Kasome Story chanzo cha Ibada hiyo ya Shetan and Allah aliruhusu iendelee ndio ujue Allah nndie Shetani mwenyewe.
Tafsir Asbab Al Nazul
View attachment 3085387
Tatizo wafuasi wa Paulo mnapenda kujifurahisha na uwongo. Safaa na Marwaa hapo ndipo Nabii Ibrahim alipo muwacha mkewe bi Hajar na mwanae Ismail. Ilikuwa ni amri ya Mungu kufanya vile, sa we utamini vipi hayo ikiwa Mtume wa Mungu Ibrahim mnasema ni mzinifu, ni wakristo tu wafuasi wa Paulo ndio wanaweza kufikiria Mitume ni wazinifu π
Quran hiyo hiyo inafananisha Allah na Baal, Quran hiyo hiyo inasema Allah ni best of Creators mean kuna Creators wengine ila Allah ndie best. Quran inasema allah akiongea anatumia wingi na sio binafsi yake.. sasa nyie mnajua Allah hana uwezo akiwa peke yake na ameweka kabisa maandishi na nyie mnakanusha ndio maana Wayahudi walimuita Mtume wenu Kufr kichekesho na yeye akawaita Kafir wakati yeye ndie mpingaji
Hahaha hapo huoni kama Qur'an inakusudia Yesu na Ibrahim pia alifufua ndege. Yesu aliweza ku create au leo mnajicheka na uwongo wenu? Yesu sio katika hao mnasema alikuwa katika ma Creators π Nyie hamjisifu huko Yesu aliumba na kufufua sio nyie, sa nani aliye Mumba Yesu? Na baba yake Yesu sio katika ma Creators, nikukueleza Qur'an sio level yako. Unaona sa Qur'an imekujibu hakuna katika ma Creators kama Yeye, nyie bakini na Yesu ndio creator wenu π
Unaposema Allah amejidescibed kwenye Quran ndio unapata picha ya hilo Sanamu... hahaha Mikono ya kulia,kiuno kimeungana na miguu anakaa anabebwa na 8 angels wenye sura za wanyama na ndege kama Michoro ya Misri
Wapi Allah alijidescribe kwenye Qur'an ana mikono miwili na ipo kulia? Leta dalili na upunguze kuleta Story za uwongo. Allah kajidescribe kuwa yuko tofouti na wengine, sio Yesu ambaye ni binadamu hata alikuwa anaenda haja ndogo na kubwa. Mungu haendi haja kubwa wala ndogo, yeye ni Msafiii katakasika na kila uchafu.
Quran 44:10 amesema ana mokono, and Hadith mtume wenu kasema Tatizo alikuwa mjinga akiamini mkono wa kushoto hauna baraka so akamsingizia Allah ana mikono yotee ya kuria yenye baraka hahah kumbe anachekesha
Mikono ya Allah
Mungu ndio ana mikono sa aliumba vipi hi dunia na wewe na mimi bila mikono yake? mbingu na ardhi na nani anaye ishikilia kama sio Mungu sa kosa liko wapi
Ndio Waislam waaminifu wanakubali ila fake Muslim wanakataa ndio ulivyofunzwa kutokuwa honest nishakufudisha na unaelewa even signature yako nishakuambia ni ya uongo na proof zipo bora ufute tu
Wale fake ndio hao mnawaita moderate Muslims wanakubaliana na nyie. Sababu ni ma fake kama nyie mpo mbali na mafunzo ya Mungu
Ndio ujue anayeruhusu umle mateka ni Shetan Hakuna Mungu anayeweza kutoa ruksa ya ufuska wewe unaye mke au wake 4 then ukipata mjakazi au mtumwa (MA MALAKAT AYMANUKUM )unazini naye eti Allah karuhusu.. hii inaoesha Mateka wa Israel kule Gaza wanakazwa tu kila siku ndio maana wanawaua kuondosha ushahidi kuficha aibu ya Allah.
Leta dalili wapi wameruhusiwa wa wale mateka? Nilisha kuwekea mpaa Aya ya Qur'an inakataza kufanya nao sex mateka unless wawaowe? Hivi wewe huwa unaelewa au huelewi una uliza swali unajibiwa unapotea wewe afu unakuja leta ujinga ule ule ulio jibiwa haha.
And unaposema War vita zote za mtume wenu ndie alianzisha yeye mwenyewe so akishikwa na nyege anaanzisha vita and anaweka Aya eti Allah karuhusu umalaya na ubakaji nyakati za vita.. kuna time alitaka anzisha Vita na Roman empire alimradi azini na Wanawake wa Kizungu wenye blondy hair Arabs walimshangaa na kumcheka Tafsir ya Aya 9:49
Wapi nilisema vita vyote Mtume ndio alianzisha nipe dalili wacha uwongo. Mtume Muhammad alikuwa mtu wa kupenda amani hajawahi kuwa hata siku moja yeye wakuanzisha shari.
Hadeeth number 16785 Attack Rome to get blonde girls (Al Khabari)
Mtume wenu alikuwa muislam wa aina yake na nyie wa aina yake.. kila kitu yupo against akidai kapewa priviledge
Aya 33:50 hadi mkeo angekuwa anazini na mtume wenu Allah karuhusu... this is devil worshiping
Wewe utajifananisha ni Mitume. ,Mitume wote walicho kuwa wanafanya ni amri za Mungu we kalia na ujinga tu, kama wale walio mzulia mama yake Yesu mzinifu