Video: Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akinaswa kibao na mwananchi

Video: Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akinaswa kibao na mwananchi

Hahaha
Ingekuwa bongo afu amlambe mwendazake ukofi wa namna hiyo....

Hakyamama kabla hajapotea kama Ben Saanane, angekuwa kashachezea kichapo cha risasi laki nane na nusu...
 
Ila wafaransa nao kwa kupiga viongozi wao wamezidi hata Sarkozy naye walishamtandika.
 
Kibao alichopigwa Rais wa France ingekua kapigwa Kayafa au Kagame hiiiiiiiiiii

Sipati picha kile kibao angepigwa kayafa aka mwendazake au apigwe kagame nasema hiiiiiiiii

Sipachi kayafa ndo angelambwa hilo kofi iiiiiiiiiii huyo mtu angeenda kusagwa sagwa kwenye mashine ya kusagia nafaka hakyamama angepigwa risasi elfu 50


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
 
Kofi alikufika usoni kwa Emma,mlinzi alipangua mkono wa mpigaji.
 
Kibao alichopigwa Rais wa France ingekua kapigwa Kayafa au Kagame hiiiiiiiiiii


Sipati picha kile kibao angepigwa kayafa aka mwendazake au apigwe kagame nasema hiiiiiiiii

Sipachi kayafa ndo angelambwa hilo kofi iiiiiiiiiii huyo mtu angeenda kusagwa sagwa kwenye mashine ya kusagia nafaka hakyamama angepigwa risasi elfu 50


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Nasema hiiiiiiiiiiiii..........

I wish aicould be aijipiiii........
Hiiiiiiiiiiiii............

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
TEAM YA PRESIDENTIAL GUARDS ARE NOT SERIOUS HOW DO YOU ALLOW A CITIZEN
 
Tean o Presidents guards can allow a president shake hands closely like that and one an not notice the culprit hold his hand and slap the No one they need to be fired and taken to MARTIAL COURT...
 
huki angalia tukio lile kwa makini kama yule jamaa wame mpanga maana kipindi cha corona ichi rais kumshika mtu mkono sio jambo jepesi.
 
Kuna vitu havifikiriki, yaani hauruhusiwi hata kuviwaza hata kama uko mwenyewe, maana unaweza ukajikuta unaviropoka ukilewa mipombe, kwa kifupi kuna aina fulani ya mawazo yakikujia unayakemea kwa mbali maana ni majanga.
 
Yani nawaza tu ingekuwa ni mwendazake kapigwa hivi dunia ingesimama
 
Back
Top Bottom