Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wamechanjwahuki angalia tukio lile kwa makini kama yule jamaa wame mpanga maana kipindi cha corona ichi rais kumshika mtu mkono sio jambo jepesi.
Nilikuwa na ndoto ya kuja kumchapa kayafa kibao. Bahati mbaya haitatimia.
Wapuuzi ndiyo chanzo cha bundle kupandishwa mkuu.Inabidi Tcra ipandishe bando.
Huu nao ni uzi daaa!
Jamaa aliyemshika miguu Mstaafu Asiyestaafu pale Kirumba jukwaani yupo hai?Nakumbuka Mwinyi akiwa kishastaafu alichezea kibao pale Diamond Jubilee... na akamsamehe yule jamaa
Laiti ingekuwa mwendakuzimu... hakyamama pangechimbika! Jamaa angepotea kama Azory Gwanda au Ben Saanane