Angekua hapa bongo enzi za KAYAFA angekula kisago zaidi ya alichokula Yesu pale msabani....
Kifupi ange sagwa sagwa
Ingekuwa bongo afu amlambe mwendazake ukofi wa namna hiyo....
Hakyamama kabla hajapotea kama Ben Saanane, angekuwa kashachezea kichapo cha risasi laki nane na nusu...
Ulikuwepo? ama umeona vide!Kofi alikufika usoni kwa Emma,mlinzi alipangua mkono wa mpigaji.
Nilikuwa na ndoto ya kuja kumchapa kayafa kibao. Bahati mbaya haitatimia.
Nasema hiiiiiiiiiiiii..........Kibao alichopigwa Rais wa France ingekua kapigwa Kayafa au Kagame hiiiiiiiiiii
Sipati picha kile kibao angepigwa kayafa aka mwendazake au apigwe kagame nasema hiiiiiiiii
Sipachi kayafa ndo angelambwa hilo kofi iiiiiiiiiii huyo mtu angeenda kusagwa sagwa kwenye mashine ya kusagia nafaka hakyamama angepigwa risasi elfu 50
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Sorry mkuu.. hakuna 'bahati mbaya' always bahati ni nzuri..Nilikuwa na ndoto ya kuja kumchapa kayafa kibao. Bahati mbaya haitatimia.
Bila samahani boss. Asante kwa kunielimisha. Ni mazoea tu yetu waswahiliSorry mkuu.. hakuna 'bahati mbaya' always bahati ni nzuri..
Badala yake, ulipaswa kutumia neno 'isivyo bahati...'