kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Watakuja kukutagisha mayai chadema wewe,maana usiku na mchana ni wewe na chademaHao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuja kukutagisha mayai chadema wewe,maana usiku na mchana ni wewe na chademaHao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Alikuwa anatetea tumbo lake sio chama maana aliyemvua u DC ni mkiti wa hicho chama unachosema alikuwa anakitetea.Sabaya alikitetea Chama Sana na serikali kwa ujumla Ila ni mtu wa ovyo sana
Hiyo ndiyo nafasi pekee waliokuwa wakiitafuta wananchi ili waonyeshe hisia na chuki zao dhidi ya kiongozi katili.View attachment 1822689
Hakika cheo ni dhamana. Tumia cheo kutenda haki, tenda kazi ya Mungu.
Hili ni funzo kubwa sana kwa wenzetu mnaoteuliwa na kuchaguliwa. Oneni mwenzenu anavyodhalilika. Hamjachelewa sana,huu ni wakati wa kulia na kutubu hadharani
Jela maisha mtoto wa dikiteetaHao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
HakikaJela ni yetu sote
Familia ya dikiteeta lazima wooote wataozea jelaKabaki pekee
CDM siyo kichaka cha majambaziAkitoka huko atajiunga na Chadema ccm mmemuaibisha
Nikweli ila huon Kama ni kaisari mpyaAlikuwa anatetea tumbo lake sio chama maana aliyemvua u DC ni mkiti wa hicho chama unachosema alikuwa anakitetea.
Mbona makonda mlisema hivi hivi na yupo?Na wakijichanganya kumfutia kesi anauwawa mtaani labda akajifiche Libya
Dikiteita uchwara. Dikiteita uchwara atubu hata huko jehànamu alipoDikteta aliwaharibu sn wana CCM
Ndio chadema itakuwa imeshinda urais?Mama Samia bado mmoja anakula na kunywa uraiani...... tupatie na huyo iwe zawadi ya mwaka huu 2021...
Tena kwa video hii,kesi yake ndio inakuwa rahisi kabisa, maana hakimu atakuwa na wakati mgumu,akipatikana na hatia itaonekana hakutendewa haki, kwani alihukumiwa na umma kabla ya kesi kusikilizwa na hakimu alishawishiwa na kelele za wananchi na vyombo vya habari havikumlinda kabisa.Hivi anajitetea mwenyewe au anatumia wakili, huyo wakili atakuwa na kibarua kigumu sana kwa ushahidi ule wa video!!
Ilitakiwa akimbie on the spot baada ya kiongozi wa malaika kufukiwaAlilia kwa uchungu aliyaona yajayo
Hana nafasi hiyoDikiteita uchwara. Dikiteita uchwara atubu hata huko jehànamu alipo