Video: Sabaya azomewa "mwiziiiii mwiziiiii!" Hakika cheo ni dhamana

Video: Sabaya azomewa "mwiziiiii mwiziiiii!" Hakika cheo ni dhamana

Hao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Kuna wakuu wa wilaya wangapi Tanzania ,, kwanini Sabaya??

Chadema wapo Tanzania nzima, kwanini chadema wa kwa Sabaya peke yake?
 
Mbona makonda mlisema hivi hivi na yupo?

Mashindwa kuwaua mafisadi wanaachiwa hovyo na DPP mtabaki na umasikini wenu
Kumbe wanaachiwa hovyo hovyo, basi serikali ya CCM ni ya hovyo sana.
 

Hakika cheo ni dhamana. Tumia cheo kutenda haki, tenda kazi ya Mungu.

Hili ni funzo kubwa sana kwa wenzetu mnaoteuliwa na kuchaguliwa. Oneni mwenzenu anavyodhalilika. Hamjachelewa sana,huu ni wakati wa kulia na kutubu hadharani
Tambua kwamba anatuhumiwa.. na ujue kwenye tuhuma kuna ukweli au usio ukweli..

Je siku asipopatikana na hatia bado utamwita mwizi?
 
Huyu ndugu yetu inabidi atunzwe hukohuko akija mtaa raia wanaweza mgeuza ndafu chaaap.
 
Back
Top Bottom