kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Wewe ni mtu mmoja mjinga sana hapa TanzaniaHao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mtu mmoja mjinga sana hapa TanzaniaHao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Mmh wabongo waoga mno, bashite mbona bado anadunda?[emoji848]Na wakijichanganya kumfutia kesi anauwawa mtaani labda akajifiche Libya
Kuna wakuu wa wilaya wangapi Tanzania ,, kwanini Sabaya??Hao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Kama wale walionunuliwa na sabaya kurusha mawe na kuzomea msafara wa mbowe kipindi cha kampeni kule Hai.Hao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Wewe kakununua naniHao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Kumbe wanaachiwa hovyo hovyo, basi serikali ya CCM ni ya hovyo sana.Mbona makonda mlisema hivi hivi na yupo?
Mashindwa kuwaua mafisadi wanaachiwa hovyo na DPP mtabaki na umasikini wenu
Sabaya alimng'oa dikteta mbowe!Kuna wakuu wa wilaya wangapi Tanzania ,, kwanini Sabaya??
Chadema wapo Tanzania nzima, kwanini chadema wa kwa Sabaya peke yake?
Sasa ale matunda ya kazi aliyoifanya.Sabaya alimng'oa dikteta mbowe!
lengo ni kutoa funzo hasa kwa vijana, unapopewa madaraka ya uongozi huwezi kuishi kihuni huni.Ndio chadema itakuwa imeshinda urais?
Kuishi kihuni ni kuishije?lengo ni kutoa funzo hasa kwa vijana, unapopewa madaraka ya uongozi huwezi kuishi kihuni huni.
Si ndio mnademka humu kusifia mko vizuri na mama?Kumbe wanaachiwa hovyo hovyo, basi serikali ya CCM ni ya hovyo sana.
Ndo maana ananyea ndooSabaya alimng'oa dikteta mbowe!
Tambua kwamba anatuhumiwa.. na ujue kwenye tuhuma kuna ukweli au usio ukweli..
Hakika cheo ni dhamana. Tumia cheo kutenda haki, tenda kazi ya Mungu.
Hili ni funzo kubwa sana kwa wenzetu mnaoteuliwa na kuchaguliwa. Oneni mwenzenu anavyodhalilika. Hamjachelewa sana,huu ni wakati wa kulia na kutubu hadharani
Hahaha zile ni video genuine ?Hivi anajitetea mwenyewe au anatumia wakili, huyo wakili atakuwa na kibarua kigumu sana kwa ushahidi ule wa video!
Chadema hiyo pesa waliipata kwa mama yako??Hao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.
Vp ulimpelekea maji,sabuni etsetraaHao wamenunuliwa na chadema waje kuzomea hapo lakini haitawasaidia kitu.