Video: Saleh Jembe, Saleh Jembe, Saleh Jembe. Nimekuita mara tatu. Jiangalie

Video: Saleh Jembe, Saleh Jembe, Saleh Jembe. Nimekuita mara tatu. Jiangalie

Huyo ni zero brain kama wanahabari wengine wa Tanzania
 
Hizi nyuzi za mwendo kasi hatari...
Yaani huyo saleh unamtaja kana kwamba hadi huku Murito mkoani Tarime tunamfaham....🤨
Kama hamtaki tusome nyuzi zenu, basi muwe mnaweka angalizo kwamba huu ni uzi wa daslam tu...😑
 
Bongo watu wengi sana wana matatizk ya akili, na ndio wanaongoza kujikuta watu wa kutema facts. 🤣
 
Saleh Jembe yuko sahihi kabisa na ndiyo kitu nilikuwa namwambia chura mmoja humu ndani juzi hadi akakimbia.

Shida siyo sana kudhamini timu nyingi ingawa mbele ya safari hili nalo linatakuwa kuangaliwa, shida huyu anayedhamini tayari ana timu yake ambayo ndiyo anatamani iwe na mafanikio zaidi. Kwa hiyo anatumia udhamini wake kwa timu zingine kama chaka la kufanikisha mafanikio ya timu yake mama. Hauhitaji D2 kulielewa hilo.
 
Bongo watu wengi sana wana matatizk ya akili, na ndio wanaongoza kujikuta watu wa kutema facts. 🤣
Wapumbavu wa yanga hamuwezi kuelewa hili. GSM anayedhamini Yanga na kupigania Yanga atwae makombe Ndio huyo huyo anapeleka fedha za udhamini kwenye timu nyingine. Hapo tayari Kuna mgongano wa maslahi. Hiyo fursa anaweza itumia kupanga matokeo.
 
Saleh Jembe yuko sahihi kabisa na ndiyo kitu nilikuwa namwambia chura mmoja humu ndani juzi hadi akakimbia.

Shida siyo sana kudhamini timu nyingi ingawa mbele ya safari hili nalo linatakuwa kuangaliwa, shida huyu anayedhamini tayari ana timu yake ambayo ndiyo anatamani iwe na mafanikio zaidi. Kwa hiyo anatumia udhamini wake kwa timu zingine kama chaka la kufanikisha mafanikio ya timu yake mama. Hauhitaji D2 kulielewa hilo.
Mo aturudishie timu yetu ili tupunguze kulialia.
 
Hizi nyuzi za mwendo kasi hatari...
Yaani huyo saleh unamtaja kana kwamba hadi huku Murito mkoani Tarime tunamfaham....🤨
Kama hamtaki tusome nyuzi zenu, basi muwe mnaweka angalizo kwamba huu ni uzi wa daslam tu...😑
Huu Uzi mwisho wake makumbusho .sio dar yote hata
 
Saleh Jembe yuko sahihi kabisa na ndiyo kitu nilikuwa namwambia chura mmoja humu ndani juzi hadi akakimbia.

Shida siyo sana kudhamini timu nyingi ingawa mbele ya safari hili nalo linatakuwa kuangaliwa, shida huyu anayedhamini tayari ana timu yake ambayo ndiyo anatamani iwe na mafanikio zaidi. Kwa hiyo anatumia udhamini wake kwa timu zingine kama chaka la kufanikisha mafanikio ya timu yake mama. Hauhitaji D2 kulielewa hilo.

Unajua Beyern Munich inamilikiwa na Nani? Sio udhamini Bali umiliki, na je hao wanaomiliki Bayern wanamiliki na timu gani zingine? Nakupa home work fanyia kazi hii Kolo
 
Kwanini Simba SC wako kimya hawaenda mahakama za mpira na CAF? Kitendo cha uongozi wa Simba SC kukaa kimya ni tatizo kubwa
 
Kama hilo ni tatizo ama ni kosa mbona wenye mamlaka na soka la bongo kwa maana ya tff wako kimya wakati milio juu ya jambo hilo toka kwa kolo ni mingi
 
Wapumbavu wa yanga hamuwezi kuelewa hili. GSM anayedhamini Yanga na kupigania Yanga atwae makombe Ndio huyo huyo anapeleka fedha za udhamini kwenye timu nyingine. Hapo tayari Kuna mgongano wa maslahi. Hiyo fursa anaweza itumia kupanga matokeo.
Dah, umeandika kama huna PUMBU vile, sasa aliyesema mimi ni UTOPOLO nani?
 
Unajua Beyern Munich inamilikiwa na Nani? Sio udhamini Bali umiliki, na je hao wanaomiliki Bayern wanamiliki na timu gani zingine? Nakupa home work fanyia kazi hii Kolo
Hakuna timu inayocheza Ligi Kuu ya Ujerumani "Bundes Liga" ambayo inamilikiwa na wamiliki wa Bayern Munich nje ya Bayern Munich yenyewe. Hakuna. Haipo na wala haitakaa itokee. Elewe neno ligi Kuu. Usije ukaleta timu za madaraja ya chini, kama kule Hispania ambako kuna Barcelona Ndogo inayocheza ligi ya chini na haipandi kwenda Ligi Kuu hata kama wakitwaa ubingwa. Nasubiri utaje hiyo timu ya wamiliki wa Bayern.
 
Na form six alitwanga zero, chezea elimu ya uzeeni wewe
Kuna naibu Waziri yule Mwanamuziki , alitwanga Form Six Zero. Lakini alijiendeleza. Kwa hiyo hapo hauna hoja. Cha msingi ameongea ukweli. Ukweli utabaki kuwa ukweli hata kama waongo na wazandiki hamuupendi.
 
Hakuna timu inayocheza Ligi Kuu ya Ujerumani "Bundes Liga" ambayo inamilikiwa na wamiliki wa Bayern Munich nje ya Bayern Munich yenyewe. Hakuna. Haipo na wala haitakaa itokee. Elewe neno ligi Kuu. Usije ukaleta timu za madaraja ya chini, kama kule Hispania ambako kuna Barcelona Ndogo inayocheza ligi ya chini na haipandi kwenda Ligi Kuu hata kama wakitwaa ubingwa. Nasubiri utaje hiyo timu ya wamiliki wa Bayern.
FC Bayern München AG was founded in 2001 and its founder and main shareholder is FC Bayern München e.V. Other shareholders include Audi, Adidas and Allianz SE. FC Bayern München AG operates the professional football department of FC Bayern.
 

Attachments

  • 0a0a1c_80d96771793541ccbeede7a4ad2f2793~mv2.jpg
    0a0a1c_80d96771793541ccbeede7a4ad2f2793~mv2.jpg
    54.3 KB · Views: 1
FC Bayern München AG was founded in 2001 and its founder and main shareholder is FC Bayern München e.V. Other shareholders include Audi, Adidas and Allianz SE. FC Bayern München AG operates the professional football department of FC Bayern.
Inaonekana unajua ku_google, ila hujataja timu inayomilikiwa na Wamiliki wa Bayern Munich nje ya Bayern yenyewe. Nasubiri utaje jina la hiyo timu! Soma vizuri post yako wewe mwenyewe namba 10. Maana umejaribu kudai kuna timu nyingine inayomilikiwa na wamiliki wa Bayern Munich nje ya bayern yenyewe. Itaje.
 
Back
Top Bottom